sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Kazi ngumu, malipo kiduchu, shule nyingi kubaki na walimu wa kike. Tathimini ya walimu wanaoacha kazi imebaki kuwa siri ya serikali.
Serikali imewagawa walimu;
1. Kuwapa wakuu wa shule na waratibu wa kata posho ya Tshs 250,000/= kila mwezi ili waisaidie serikali kulinda ukandamizaji wa haki za walio wengi.
2. Kuvirubuni vyama vya wafanyakazi kwa kuweka makada wa CCM kuwa wasimamizi wa vyama hivyo ambao wanalipwa mishahara mikubwa na posho kubwa ambazo ni jasho la mwalimu ili waisaidie serikali kukandamiza haki za walimu.
Elimu duni, fimbo ya masikini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali imewagawa walimu;
1. Kuwapa wakuu wa shule na waratibu wa kata posho ya Tshs 250,000/= kila mwezi ili waisaidie serikali kulinda ukandamizaji wa haki za walio wengi.
2. Kuvirubuni vyama vya wafanyakazi kwa kuweka makada wa CCM kuwa wasimamizi wa vyama hivyo ambao wanalipwa mishahara mikubwa na posho kubwa ambazo ni jasho la mwalimu ili waisaidie serikali kukandamiza haki za walimu.
Elimu duni, fimbo ya masikini.
Sent using Jamii Forums mobile app