Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Japo sio shule zote ila shule nyingi hakuna mwalimu anayedhalauliwa na kunyanyasika kama mwalimu wa kujitolea sio na walimu hata wanafunzi pia baadhi ya wanafunzi wakijua mwalimu wa kujitolea huwa wanamdharau.
Tukianzia swala la malipo unakuta wazazi wanachanga buku buku kwa ajiri ya walimu wa kujitolea lakini lakini katika lile fungu mkuu wa shule,makamu wa shule, mkuu wa idara, katibu wa wazazi wanagawana zile hela alafu walimu wa kujitolea wanapewa elfu 30 au 20 kwa mwezi kama posho ya kazi.
Mwalimu wa kujitolea akiwa na program zake za kufundisha masomo ya ziada walimu waajiriwa wanamwingilia na kucuruga program zake Kisha wao kuichukua hiyo program.
Walimu waajiriwa wengine hufika hatua ya kuwaponda walimu wa kujitolea mbele ya wanafunzi kwamba wao sio lolote ndo maana wanafunzi wanawadharau hata akitaka kumwadhibu mwanafunzi anamgomea.
Haya mambo imefika hatua kumekuwa na makundi ya walimu wanajitolea na walimu waajiriwa Hawa waajiriwa wanajiona super classic kuliko wanajitolea.
Ni mengi ya kusema acha niishie hapa.
Tukianzia swala la malipo unakuta wazazi wanachanga buku buku kwa ajiri ya walimu wa kujitolea lakini lakini katika lile fungu mkuu wa shule,makamu wa shule, mkuu wa idara, katibu wa wazazi wanagawana zile hela alafu walimu wa kujitolea wanapewa elfu 30 au 20 kwa mwezi kama posho ya kazi.
Mwalimu wa kujitolea akiwa na program zake za kufundisha masomo ya ziada walimu waajiriwa wanamwingilia na kucuruga program zake Kisha wao kuichukua hiyo program.
Walimu waajiriwa wengine hufika hatua ya kuwaponda walimu wa kujitolea mbele ya wanafunzi kwamba wao sio lolote ndo maana wanafunzi wanawadharau hata akitaka kumwadhibu mwanafunzi anamgomea.
Haya mambo imefika hatua kumekuwa na makundi ya walimu wanajitolea na walimu waajiriwa Hawa waajiriwa wanajiona super classic kuliko wanajitolea.
Ni mengi ya kusema acha niishie hapa.