we Kindimbajuu ligodogoro ni lilovi tuhu la liyema kulasa kinu fulani. mbona hata tavagosi vakatikemela mabuzi, lofa n.kkuna uhusiano mkubwa kati ya mawazo yetu , maneno ya vinywa vyetu na pia matendo yetu. usishangae, unachotakiwa ni kuthibitisha kuwa mtu kama huyu anapo pigwa memo, ni kwa haki kabisa. amekosa lugha nyingine hata akasema "magodoro".
we Kindimbajuu ligodogoro ni lilovi tuhu la liyema kulasa kinu fulani. mbona hata tavagosi vakatikemela mabuzi, lofa n.k
Sisi tunaofanya kazi chini ya mtu fulani (boss) mwanaume tunakuwa hatarini sana hasa kama boss anagodoro lake hapo. Akikuona unamazoea nae (godoro lake) basi visa havikosi, memo usiseme na hata kufukuzwa kazi muda mwingine.
Tufanyeje kuepukana na hilo?
katumia lugha ya mficho wajamini msikasirike lol.
aaisee kweli wanawake majina tunatungiwa.... Tushakua godoro??