JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 8,327
- 17,915
Ukahaba wa masista au Ushoga wa mapadri hauna maana kuwa Ukatoliki unapigia chapuo mambo ya kipuuziHayo mbona madogo,Nina jamaa yangu,alikuwa anampelekea faya msista,
Akitoka ibadani,anakuja gheto,anavaa kanga moja,anapika,arafu anachakachuliwa kama makinikia,
Kilichoniacha mdomo wazi,ni kwamba kanisa na gheto LA jamaa ni mkabala tu,vimetenganishwa na miti ya mazingira ya kiuzunguni,yaani ukiwa gheto,unaona shughuri zote zinazoendelea church
Dini huwa haipimwi kwa matendo ya waumini wake bali hupimwa kulingana na mafundisho yake, kwanza unaweza kunywa pombe na usifanye dhambi, ushawahi kujiuliza matendo ya kinyama na mauaji yanayofanywa na waislamu kwa mwamvuli wa uislamu?! Makundi ya kigaidi yanayojinasibisha na uislamu unayaona ni afadhali kuliko kunywa pombe ?Mi nadhani wakapimwe mkojo tu hamna namna nyingine. Eti ndio wa kuwaamini hawa na kuwaachia watoto wafundishwe nao, ni hatari sana.
Hii dini sio kabisa kila mkiambiwa hamuelewi oneni sasa hayo mambo. Mtaamka lini kutoka usingizini Jamani.
Mapadre nao wanafungisha ndoa za mashoga kwa kweli hii dini hii. Mmh.
Hatarious.
WeweeeeMi nadhani wakapimwe mkojo tu hamna namna nyingine. Eti ndio wa kuwaamini hawa na kuwaachia watoto wafundishwe nao, ni hatari sana.
Hii dini sio kabisa kila mkiambiwa hamuelewi oneni sasa hayo mambo. Mtaamka lini kutoka usingizini Jamani.
Mapadre nao wanafungisha ndoa za mashoga kwa kweli hii dini hii. Mmh.
Hatarious.
Pombe sio mbaya. Matokeo yake sasa. Afadhali sisi tunakunywa hadharani kuliko wale wenzetu wanaokunywa kwa kujificha. UNAFIKI HUO!Wakatoliki wanaruhusu unywe lakini usilewe
Usikurupuke kutoa lawama . Unauhakika kama kweli nao ni masister kweli? Tafakari kabla ya kutenda. Kwani yawezekana ni makusudi ya kulichafua KANISA katoliki kwani katoliki ndio lina waumini wengi na Shule nyingi kamaulivyo sema Na Sasa hivi Kumekuwa na Madhehebu Mengi sana hasa haya wanaita ya kiroho Yapo Kwa harakati kubwa ya kuvuna wanakondoo kutoka katoriki ili nao wajijenge .Mi nadhani wakapimwe mkojo tu hamna namna nyingine. Eti ndio wa kuwaamini hawa na kuwaachia watoto wafundishwe nao, ni hatari sana.
Hii dini sio kabisa kila mkiambiwa hamuelewi oneni sasa hayo mambo. Mtaamka lini kutoka usingizini Jamani.
Mapadre nao wanafungisha ndoa za mashoga kwa kweli hii dini hii. Mmh.
Hatarious.
Huyo sista alikuwa mtu wa makamo???Hayo mbona madogo,Nina jamaa yangu,alikuwa anampelekea faya msista,
Akitoka ibadani,anakuja gheto,anavaa kanga moja,anapika,arafu anachakachuliwa kama makinikia,
Kilichoniacha mdomo wazi,ni kwamba kanisa na gheto LA jamaa ni mkabala tu,vimetenganishwa na miti ya mazingira ya kiuzunguni,yaani ukiwa gheto,unaona shughuri zote zinazoendelea church
Hvyo vitabu unajua vinasema nini na sababu ni zipi?Hivi vitabu vya dini wanavyo tufundishia sivinakataza yani hapa ndio dini unaona usanii.
Wanakataa bia , lakini wanayofanya vitandani mwao utashangaa.Hiyo safi, hamna shida!
Hao wanaojifanya hawanywi ni wanafiki na wadhambi vibaya mno!
Pombe imeumbwa ili imfurahishe binadamu...
Kwanza kwenye amri kumi hakuna inayokataza pombe. Hawa ni watawa ambao kwenye nadhiri zao hakuna kifungu kinasema wasinywe pombe ila wamefunga nadhiri za useja, umaskini na wito. Wakatoliki tunaruhusiwa kunywa hata sherehe zetu zote au shughuli zetu zote dunia nzima hazikosi mvinyo. Yesu alitengeneza mvinyo kama muujiza wake wa kwanza pale Kaanani sasa wewe unatwambia nini?Mi nadhani wakapimwe mkojo tu hamna namna nyingine. Eti ndio wa kuwaamini hawa na kuwaachia watoto wafundishwe nao, ni hatari sana.
Hii dini sio kabisa kila mkiambiwa hamuelewi oneni sasa hayo mambo. Mtaamka lini kutoka usingizini Jamani.
Mapadre nao wanafungisha ndoa za mashoga kwa kweli hii dini hii. Mmh.
Hatarious.
Dini inayoruhusu kuua kwa jina la Alah ni haram na ni ya kipagani kupindukia.Dini inayoruhusu pombe ni ya kipagani