mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,108
- 106,599
DuhKila siku oh kazi imeanza. Kwa hiyo ilikuwa haijaanza sio?
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhKila siku oh kazi imeanza. Kwa hiyo ilikuwa haijaanza sio?
Dada Gani amekuwa Msimbe nyeneErythrocyte,
Dada mwenye akili kibao
Halafu kuna mbayuwayu wanajaribu kumshusha Halima na kajitu kama T. Trust sijui mavi huko?
Geez
"Au utasikia amekamatwa na polisi kwa kosa la kutakatisha kikao n waandishi wa habari"Hapo Lumbumba siku nzima kazi zitasimama ili kuwinda maneno ya uchochezi.
Wanafanya kazi katika mazingira magumu!!
Issue ya kutekwa ndo the last bullet ya chadema, wanataman hata wajiteke ili kus-peed up bullet velocity
Wenye jipya hawa hapa
View attachment 1314656
View attachment 1314588
Mwenyekiti wa BAWACHA , jumuiya ya wanawake inayosemekana kuwa na nguvu kuliko jumuiya yoyote ya aina hiyo barani Africa , Mh Halima Mdee atazungumza na Waandishi wa habari Makao Makuu ya Chadema Jumatano hii.
Wote mnakaribishwa
Sawa.....Wote mnakaribishwa .
Umenikumbusha kipindi hicho, Tundu Lissu akiongea TBC walikuwa wakipoteza masafa.Halima Mdee ni mwanamke wa shoka....!!Magufuli mwenyewe akisikia hili jina la huyu mdada anachanganyikiwa ana tamani ampoteze lakini kwa uwezo wa Mungu ameshindwa kwa Jina la Yesu!!!
Mahaba yako tu...chongo waita kengeza..ukimsikiliza HOJA za Halima Mdee utagundua kuwa ana akili na uwezo wa kuchambua mambo kuliko wakina Jenista Mhagama, Tulia Ackson, na vigogo wengine wa CCM.
Watu wengi wenye IQ ndogo, priority yao huwa ni kuoa, kuolewa na ngono.
Da we jamaaa,una hatari,kwahiyo hata Tundu lisu,alijipiga risasi?Issue ya kutekwa ndo the last bullet ya chadema, wanataman hata wajiteke ili kus-peed up bullet velocity
Basi utambue wapi ni wengi vijana wenyewe uelewa au masikini na wasio na uelewa..?Wenye jipya hawa hapa
View attachment 1314656
Hapo Lumbumba siku nzima kazi zitasimama ili kuwinda maneno ya uchochezi.
Wanafanya kazi katika mazingira magumu!!
Now days, Strong Women =complicatedIts true mkuu
Maana sisi wanaume hua hatuoi very strong women!
Strong women wajioe wenyewe ndio inafaa!
Wewe ulishaolewa?