Kazi Coca-Cola Jamani

Kazi Coca-Cola Jamani

mbuyula

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2014
Posts
389
Reaction score
68
Kwa aliyewai fanya interview za coca naomba anipe posible questions, nimeitwa interview kwa nafasi za Graduate in Training za mwezi wa pili.
 
Asante. ngoja nisubir labda watanipgia kesho, nliomba finance. Na hyo interv ni lini?
 
Daaah watu mnakuja kutuomba ushauri tu wa kuitwa kenye usali wakati hukutushirikisha wakati unaona tangazo labda na wenzio wangeomba huo ni uroho alafu unaitwa unaanza kutusumbua si ujiamini kama ulivojiamini kuomba?
 
Coca cola kwanzae - finance the WINING TEAM that was the moto its a nice place to use as ladder for ur carrier !

ALL THE BEST GUYS
 
Uzi ulikuepo humu humu ndugu. jaribu zingne ulzoziona pia, wewe toa ushauri tu usilaumu ndugu.
 
1. Ukiona tangazo la coca cola unapata wazo gani kichwani mwako?
2. utaisaidiaje cocacola?
3. unaelewa nini kuhusu cocacola?

onyo: sio kila siku jumapili? jipange?
 
Kwanza hapo tu ushaferi usaili
Maana hakuna kitu kinachoitwa coca cola Tanzania, ni atranta marekani tu ndo kuna coca cola
Tanzania kuna Nyanza Bottling Companya Ltd (NBCL) ipo mwanza,inasambaza vijwaji vya kampuni ya coca cola mikoa ya Mwanza,Tabora,Simiyu,Geita,Mara na Kagera!! Na plant yao ipo mwanza
Pili kuna Bonitte Bottling Company Ltd inasambaza vinywaji vya coca cola mikoa ya Arusha,Manyara,Kilimanjaro,Dodoma na Singida, plant yao ipo Kilimanjaro
Tatu kuna Kwanza hawa jamaa wana plant Tartu
I) Dar es salaam inagawa vinjwaji dsm,pwani,Moro,lindi,mtwara na iringa
ii) Zanzibar inagawa huko huko
iii) Mbeya inasambaza mbeya,Ruvuma,Rukwa na Katavi
 
Sasa wewe sijui umeitwa ipi kati ya hizo Tatu!! Nyanza,Kwanza au Bonitte???
 
Na maswali yao hua yanabase kwenye blands zao!! Sema umeitwa wapi tukupe ma ujanja maana nipo Nyanza!!!!
 
Cha muhimu jua jinsi kampuni inavyofanya kazi. Jua mission statement yao. Jua cv yako uliyoituma, na skills zako na mifano uliyonayo. Jua maswali kama unategemea kuwa wapi miaka mitano ijayo etc (gugo interview question uchemshe ubongo wako)

Usijibu mtu muda na siku ya interview humu as uwezi jua nani anakuuliza.

Pia jua wana branch wapi na ngapi?

Soma tena tangazo na uone walitaka mtu gani kwa kazi yako then jitayarishe.

Unaweza gugo finance job interview ukapata mifano na pia jua skills wanazotaka na mtu inabidi aweje. Kwa mfano teamwork etc, time management weye ukoje ...

Usipaniki wakati wa kujibu bora uvute pumzi kujibu la maana kuliko kukimbilia, acha swali limalizike usidakie katikati. Kama ni face to face usikae hadi uambiwe na wasalimu kwa kuwapa mikoni...

Goodluck
 
vip mmeanza kupigiwa kwenye oral au vip matokeo ya aptitude??
 
Leo na kesho ndio wata wapigia watu for the final interview. All the best kwa wote waliofanya oral.
 
Back
Top Bottom