Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Sweetlady nafafanua kuwa hawa BRAC ni wahindi wa Bangaladesh na fungu hili limetokea kwa tajiri mmoja huko aliyeanzisha visaccos (inasemekana na Bill Gate kachangia mfuko huo kwa mkopo usiokuwa na riba)Mfafanulie kwa nini watu wanaacha kazi hapo brac kila siku!
Mshahara wao ni sh 150,000/= tu kwa mwezi kwa maafisa mikopo na wale wanaotembea na wahindi hao kwa miguu au Pikipiki. Kama kuna anayepata zaidi basi ni Mhindi ambaye huwa ni Meneja na Mhasibu.
Kwa nini wanakuwa wachungu ni kwamba Hela walizokopeshwa bila Riba uazinatalkiwa zirejeshwe kunakotakikana kwani Matajiri wa huko wakiweka Pesa kwa kusaidia Nchi zinzoendelea hawatozwi kodi, lakini ukiwa na mabilioni yaliyokaa benki tu unatozwa na kuhojiwa unakozizalisha. Sasa hawa wanachotakiwa wazizungushe hizo hela na kuzirudisha kwa Bilionea na wao wajipatie ajira.
Wanachaokimbia kazi ni kuwa Afisa mkopo anapokuja kukufundisha namna ya kuomba mkopo anakuambia au kukufundisha dhamana (collatories) za kuweka, unachotakiwa ni kumkatia 10% ya mkopo na 10% ya dhamana km ni kiwanja au gari kwa kadi ya gari la mteja mwingine. Tatizo mkopo unapogoma kurudi Mhindi lazima afuatilie au wenzako wanakuchoma kinachobaki ni ww KUSEPA
Kingine ni Mhasibu akifuma yale marejesho ya vikundi vidogovidogo ambavyo hawapitii benki hufikia 40m huamua kulala nazo mbele
Ngija niwaachie wengine wafafanue kwa haya nina hakika nayo km atatoea huyo mtoa Mada akabisha ndo ntampasulia utapeli wao na ukwepaji Kodi wanaoufanya kwa kutokuwa na Leseni na vibali vya hao waBangladeshi vivyokuwa FAKE huko Immagration na manyanyaso yao ya kuwafungia wakopaji kwenye vistoo vyao (km huko Iringa)