Kiukweli hatujui kilichotokea kwakua hawakurudia lile tukio lakini kwa macho yangu niliona kama vurumai ya kawaida ambayo unaweza kutoa njano au kuwaonya. Tatizo la kayoko anajifanyaga mtemiHivi kweli zile kadi nyekundu kwa Erasto na Ulimwengu zilistahili kutolewa kweli?au Mimi ndiyo mshamba wa Sheria 17?
Hakika tume tano Bora africa“Ligi yetu imekua”
Imekua ndogo“Ligi yetu imekua”
Imekua ndogo
Unaposema anazidi kupoteza ubora wake naomba nijue ni lini alikua kwenye ubora huo unaosema?Hivi kweli zile kadi nyekundu kwa Erasto na Ulimwengu zilistahili kutolewa kweli?
Au Mimi ndiyo mshamba wa Sheria 17?
Sijawahi kumwona kwenye huo ubora unaosemwa zaidi ya kuwatolea mimacho wachezaji na kuwafokea