NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
Baada ya mbinu ya kutumia wachezaji waliocheza Ayub FC na kuhamia Arizeti Fc kushindikana Sasa kwa taarifa nilizozipata hivi punde shilingi imegeuka kwa mpuliza filimbi na washika kibendera ndiyo watakao imaliza mechi hii mapema tu.
DAKA PANZI FC hii mechi wanaitaka sana na ndiyo maana wameamua kutumia wapuliza filimbi, mbinu Yao hii lazima wapate point hata iweje.
Tutegemee Kadi nyekundu, daka panzi lazima wapate Penati na Arizet FC watahukumiwa.
Wapuliza filimbi watachezesha Mchezo Kama hawazijui sheria kabisa yaani wamekubaliana wote watakuwa na makosa ya kibinadamu ili Penat FC washinde.
KILA LA HERI PENATI FC KATIKA USHINDI WENU WA MCHONGO.
DAKA PANZI FC hii mechi wanaitaka sana na ndiyo maana wameamua kutumia wapuliza filimbi, mbinu Yao hii lazima wapate point hata iweje.
Tutegemee Kadi nyekundu, daka panzi lazima wapate Penati na Arizet FC watahukumiwa.
Wapuliza filimbi watachezesha Mchezo Kama hawazijui sheria kabisa yaani wamekubaliana wote watakuwa na makosa ya kibinadamu ili Penat FC washinde.
KILA LA HERI PENATI FC KATIKA USHINDI WENU WA MCHONGO.