Kimbojo
JF-Expert Member
- Apr 12, 2009
- 387
- 54
Alipokuwa akifunga kikao cha bunge jana tar. 19/11/2011 spika wa bunge Anne Makinda alisema zitaundwa kamati teule za bunge nyingi tu, alikuwa anamaanisha kuwa kuna uozo mkubwa ndani ya serikali na taasisi zake kama ilivyoonekana kwa wizara ya nishati na madini ? au alikuwa na maana gani?