connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,806
- 3,860
Kwa kauli za Mwenyekiti ni kama KAWE na KISESA sasa inabid watafute wabunge wapya 2025-2030. Mpira upo kwa Wajumbe sasa
Watakua ni hao hao ila watatoka vyama pinzani.Kwa kauli za Mwenyekiti ni kama KAWE na KISESA sasa inabid watafute wabunge wapya 2025-2030. Mpira upo kwa Wajumbe sasa
Kwa kauli za Mwenyekiti ni kama KAWE na KISESA sasa inabid watafute wabunge wapya 2025-2030. Mpira upo kwa Wajumbe sasa
Mpira uko kwa wajumbe kwani wana nguvu? Tanzania sasa hivi kila mbunge ni kama anateuliwa na rais.Kwa kauli za Mwenyekiti ni kama KAWE na KISESA sasa inabid watafute wabunge wapya 2025-2030. Mpira upo kwa Wajumbe sasa
Mpina alidai anaweza pita Kwa chama chochote Sasa ngoja tuone.Kwa kauli za Mwenyekiti ni kama KAWE na KISESA sasa inabid watafute wabunge wapya 2025-2030. Mpira upo kwa Wajumbe sasa
Kumbuka tume ni ya mamaWakijiongeza wakahamia upinzani hakuna wa kuwachomoa