Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,144
- 103,654
Wewe umepiga kura au uko mtandaoni kuzusha uongo? Nyie wenyewe mlikuwa mnapiga kelele kuwa mtajitojeza kwa wingi Sasa inakuwaje Tena mnasema watu wamepuuza? Very stupid...kwa hiyo wale waliokuwa kwenye mikutano ya kibaraka wa mabeberu nao wamepuuza au tuseme hawakuwa wapiga kura?
Kuna kiazi mwenzako ameweka idadi ya wanaccm anasema mko 22m+, na hizo ndio kura zenu. Je huko kwenye vituo vya kura wanaccm hawaendi, au wao wanatembezewa mabox ya kura nyumba kwa nyumba? Shubamiit. Hao waliokuwa kwenye mikutano ya Lisu wana imani na Lisu na sio huo utoto uitwao uchaguzi.