Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 5,477
- 12,684
Nchi ya kifara sanaaMahakama ni mali ya ccm
Nchi ya kifara sanaaMahakama ni mali ya ccm
Wewe ni mwongo mkubwaKuna mpambe mmoja wa Gwajima aliniambia kuwa usiku wa jana wanakwenda kufanya hiyo kazi. Nawaonea huruma wanaotoa sadaka kumpa huyu.
Kwa uwezo wa Mungu,maombi ya Rashid Gwajima Mungu atayajibu Inshallah.Sio kwa kura halali. Haya tuliwaambia toka mwanzo uwezo wa ccm kushinda kwa kura halali haupo. Imeisha hiyo.
NaamHalima alizoea ujanja ujanja safari hii umepatikana. Wewe tengeneza habari kwa mabeberu wako, lakini jimbo hupati.
Video fake na kura fake....ni upumbavu wa Hali ya juu...uzushiWananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Hoyaa mbona mnaalibu ushahidi mbona vichwa panzi nyie mlioko kawe, jamani wananchi msizichome tuwekee ushahidi tafadhalini.Mungu akupe upofu ikiwa unajua lakni unajifanya hujui.View attachment 1614639View attachment 1614640View attachment 1614641
Nani afe kwa wizi wa wazi wa kishamba
Orodha ya wapia kura kubwa kuliko uhalisia
Mnasubiri tukimaliza wapigakura halisia muanze kujaza uongo
Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Wakiweka ushahidi watanyang'anywa na kuambiwa ni kura halali, watarudisha kwenye ballot box na kuwafunga pingu wanaolalamika. Dawa ni kuichoma motoSasa si wanaharibu ushahidi?
Kwamba huoni au. Mmeshikwa pabayaa wananchi wameamua liwalo na liwe.Visingizio na maigizo ruksa
Tumia akiliHalima alizoea ujanja ujanja safari hii umepatikana. Wewe tengeneza habari kwa mabeberu wako, lakini jimbo hupati.
"Nipeni Gwajima" Chato 3:12. Mamaye, kwa ujambazi huu!!!!Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622