PlanckScale
JF-Expert Member
- Sep 28, 2008
- 550
- 169
Hivi ni vita vya kibiashara. Ni mara ngapi watu majumbani mwao inatokea ukala kitu kikakudhuru na mwingine akila kisimdhuru. Ni mara ngapi dawa ya SP (Fansidar or Metakelfin) impofusha watu wengine macho na wengine ndio tiba yao kubwa. Hii inategemea na CD4 za mtu. Wana JF wengine wasifanye mahali hapa pa kufanyia majungu ni vizuri kuwa na watu ambao hawana hila ndani yake.
Ndugu, tusiendelee kufuga ugonjwa!
Kama watu hufa majumbani kwao kwa makosa kama ulivyo yataja, basi bora tuelimishe jamii. kama pale Kawe club kuna tatizo, basi siovibaya kuieleza jamii. Imagine one of those suspected of being poisoned was your relative ...
Nadhani aliyeanzisha post hii alikuwa na lengo la kutahadhari jamii tuu, ila kama wewe unataka kuwendelea kula pale, ni sawa tuu.