Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

Kumbukumbu na ushahidi unaniambia kuwa manabii hawakutulia bali wote kwa umoja wao walipaza sauti kila ilipoitwa leo kutabili Raisi ajaye.

Na utabili huu ulianza mwishoni mwa mwaka 2010 na kuzidi kati ya miaka ya 2014.
Ni wakati ambapo timu ambayo ilikuwa machachali na timu ya hatari tena ilikuwa balaa katika tabiri nyingi za nafasi ya URAISI na Mungu wa Mbiguni alikuwa upande wao kutimiza tabiri hizo.
Zifuatazo ni baadhi ya tabiri hzo.

>Tunataka Raisi ambaye hata angalia sura ya mtu (Mhs. John Myika 2012 akiwa Kirombero Morogoro).

>Tunataka Raisi mkali asiye cheka cheka na mtu (Mch. Msigwa akuwa Mbeya).

Tunataka Raisi asiye safiri safiri nje (Mh: Freeman Mbowe akiwa kanda ya Ziwa 2013).

>Nchi hii inahitaji Raisi Dikteta na sivinginevyo (Mh: Tundu Lisu akiwa Dar).

>Tunataka Raisi ambaye atakuwa anakusanya kodi (Mh: Freeman Mbowe akiwa Tandahimba).

>Tunataka Raisi atakaye isimamia elimu ya Tanzania ( Viti Maarumu Jina ....... Bungeni).

>Tunataka Raisi ambaye atarudisha nidhamu serikalini (Mh: Godbless Lema Mbeya).

>Nchi hii inataka Raisi atakaye wafunga jela mafisadi (Mh: Heche Tarime).

>Tunataka Raisi atakayerinda Mali asili zetu (Mh: Mchungaji Msigwa 2014 Bungeni).

>Anatakiwa Raisi atakaye kuwa anakerwa na rushwa ( Dr. Wilbroad Slaa akiwa Dar).

Nchi hii inataka Raisi atakayekuwa na maamuzi magumu (Mh: Selasini akiwa Rombo ).

Kama kumbukumbu haziko sawa twaweza rekebishana.

Raisi wetu tukubali au tukatae ametusaidia sana kuwaelewa wanasiasa maana mtu anasema tunataka Raisi atakaye kuwa anakusanya kodi wakati yeye halipi kodi.

Tunataka Raisi wa kufufua shirika la ndege TZ, lkn ndege zikinunuliwa wanasema cyo priority.

Tunataka Raisi asiyesafiri, sasa hasafiri wanasema anatakiwa kwenda kutembea nchi za wenzetu.

Tunataka Raisi atakaepunguza/kuondoa michango mashuleni baada ya kufanya hvo wanasema ilikuwa bado kwa TZ kutoa elimu bure.

Tunataka Raisi anatakayesimamia madini yetu, baada ya kuanza kufanya hvo wanasheria wa upinzani wanawaunga mkono wezi wa madini.

Kwakweli siasa ni shdaaa, lkn naamini Mh: JPM atatuvusha salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tutanyooooookaaaa tuuuuuu
 
Wanasiasa na baadhi ya watanzania hawajui wanataka nini na wengi ni wanafiki sana.PIGA KAZI JPM WATANYOOKA TU
 
Write your reply...hapi kwenye kukusanya kodi naomba mwenye ile clip ya Julius akizikemea mamlaka zilizo sheheni rushwa kudil na vimtu vidogo vidogo kama mimi nina kompiuta moja nauza nyimbo za injili TRA wanataka nilipe kodi maana hiyo ni studio
 
Kumbukumbu na ushahidi unaniambia kuwa manabii hawakutulia bali wote kwa umoja wao walipaza sauti kila ilipoitwa leo kutabili Raisi ajaye.

Na utabili huu ulianza mwishoni mwa mwaka 2010 na kuzidi kati ya miaka ya 2014.
Ni wakati ambapo timu ambayo ilikuwa machachali na timu ya hatari tena ilikuwa balaa katika tabiri nyingi za nafasi ya URAISI na Mungu wa Mbiguni alikuwa upande wao kutimiza tabiri hizo.
Zifuatazo ni baadhi ya tabiri hzo.

>Tunataka Raisi ambaye hata angalia sura ya mtu (Mhs. John Myika 2012 akiwa Kirombero Morogoro).

>Tunataka Raisi mkali asiye cheka cheka na mtu (Mch. Msigwa akuwa Mbeya).

Tunataka Raisi asiye safiri safiri nje (Mh: Freeman Mbowe akiwa kanda ya Ziwa 2013).

>Nchi hii inahitaji Raisi Dikteta na sivinginevyo (Mh: Tundu Lisu akiwa Dar).

>Tunataka Raisi ambaye atakuwa anakusanya kodi (Mh: Freeman Mbowe akiwa Tandahimba).

>Tunataka Raisi atakaye isimamia elimu ya Tanzania ( Viti Maarumu Jina ....... Bungeni).

>Tunataka Raisi ambaye atarudisha nidhamu serikalini (Mh: Godbless Lema Mbeya).

>Nchi hii inataka Raisi atakaye wafunga jela mafisadi (Mh: Heche Tarime).

>Tunataka Raisi atakayerinda Mali asili zetu (Mh: Mchungaji Msigwa 2014 Bungeni).

>Anatakiwa Raisi atakaye kuwa anakerwa na rushwa ( Dr. Wilbroad Slaa akiwa Dar).

Nchi hii inataka Raisi atakayekuwa na maamuzi magumu (Mh: Selasini akiwa Rombo ).

Kama kumbukumbu haziko sawa twaweza rekebishana.

Raisi wetu tukubali au tukatae ametusaidia sana kuwaelewa wanasiasa maana mtu anasema tunataka Raisi atakaye kuwa anakusanya kodi wakati yeye halipi kodi.

Tunataka Raisi wa kufufua shirika la ndege TZ, lkn ndege zikinunuliwa wanasema cyo priority.

Tunataka Raisi asiyesafiri, sasa hasafiri wanasema anatakiwa kwenda kutembea nchi za wenzetu.

Tunataka Raisi atakaepunguza/kuondoa michango mashuleni baada ya kufanya hvo wanasema ilikuwa bado kwa TZ kutoa elimu bure.

Tunataka Raisi anatakayesimamia madini yetu, baada ya kuanza kufanya hvo wanasheria wa upinzani wanawaunga mkono wezi wa madini.

Kwakweli siasa ni shdaaa, lkn naamini Mh: JPM atatuvusha salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Walishau kuzungumzia demokrasia apparently kwa sababu wakati ule haikuwa shida
 
Walishau kuzungumzia demokrasia apparently kwa sababu wakati ule haikuwa shida
Shida ilikuwapo-kumbuka Tume ya Warioba, Bunge la Katiba na michakato yake na ile ya nnje ya bunge kwa mfano Vyama vya Siasa na Centre for Demokracy chini ya Cheyo na jinsi JK alivyowapiga chenga (Tume huru ya Uchaguzi, Mgombea huru, Kupeleka matokeo ya kura ya uraisi mahakamani kama hukuridhika).
 
Na haya maajabu ya kupinga mambo waliyoyaamini muda mrefu yapo kwa wapinzani wa Tanzania tu. Leo kuna wapenda maendeleo wameanza kuwahama wanadai wamenunuliwa, upinzani inabidi wasome alama za nyakati wasiwe rigid, msije mkasema hamkushauriwa.
 
Nukuu za Rais Magufuli

''Mimi ni Rais wa maskini. Waliozoea kuishi kama malaika wataishi kama mashetani''.

''Watoto watasomeshwa bure kwenye utawala wangu hivyo fyatueni watoto wengi maana watasoma bure''

''Serikali yangu haitawapa chakula. Kila mtu atabeba msalaba wake. Njaa haijaletwa na serikali''.

''Siwezi kuwashirikisha wapinzani kwenye serikali yangu. Nakushangaa Shein kuwaingiza wapinzani''.

''Sijawahi kutamka katiba kwenye kampeni zangu za kuomba urais. Katiba sio kipaumbele changu. Kwa sasa nainyoosha nchi kwanza''.

Ongezea nyingine unayoikumbuka
 
Back
Top Bottom