Ulitaka awekwe nani,usijifyatushe akili mtu kama anazo sifa acha afanye kazi,kwanza namshangaa huyu kilaza ,rais julias nyerere,waziri Mkuu warioba ,Mkuu wa majeshi mwita sarakikya,ungekuwepo si ungekufa kabisa sisi tulikaa kimya tukijua wanaitumikia Tanzania .