Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,498
- 86,014
very trueUongozi mzima wa TPDC sitashangaa ukitumbuliwa ili kupisha madudu haya ya hawa walaji.
very trueUongozi mzima wa TPDC sitashangaa ukitumbuliwa ili kupisha madudu haya ya hawa walaji.
Ni sawa, kwenye huu uzi wako ni wapi umezungumzia kwamba TPDC kuna Rushwa? acha kutudanganya!Rushwa ni adui wa haki
Acha porojo kama huji kitu acha kuonesha unajua........Sheria ya mafuta ndo inaongoza utoaji wa vitalu hiyo ya manunuzi unayoisema imeingiaje hapo.Husomi magazeti umelala fofo sasa unansingizia porojo kwa uzembe wake.
Haya usiye na porojo tueleze kwanini katumbuliwa?
Acha uswahili, soma reports/nyaraka husika. Jibidishe kuelewa:Uko nchi ipi au ndo umezinduka leo. Subiri kusikia aliyeibuka kidedea.
Huyu kajitahidi,sio kama nyuzi zako unaandika kama unaharishaWeka ushahidi hapa, kuandika kila mtu anaweza!
malaika mkuu wa KUZIMU.Na wakati huo huo yule Bashite anaendelea kupeta kama RC Dar kipenzi cha malaika mkuu!
Kwani yeye alitakiwa ayazuie kwa mamlaka gani???Mimi nilifikiri ni ishu ya makontena ya mchanga wa dhahabu yaliyokamatwa bandarini
Ya Dodoma uliweka ushahidi?Weka ushahidi hapa, kuandika kila mtu anaweza!
Hapa tunazungumzia makontainer yaliyoshikwa bandarini. Usitake kututoa kwenye mstari. Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini,ametumbuliwa kwa sababu alitoa majibu au maelezo ambayo hayaingii akilini kibiashara. Ni mfanya biashara gani ataghalimia kusafirisha mchanga tani na tani wenye dhahabu 0.02%(asilimia) tu!!!. Mimi nakubaliana na maelezo ya Mkurugenzi wa Bandari. Yafunguliwe kumaliza ubishi na ndio mtajua tulivyokuwa tunaibiwa kwa muda mrefu au la.TPDC walilalama zoezi la zabuni za vitalu vya gesi asilia liliingiliwa na Waziri husika Muhongo kinyume na sheria ya manunuzi.
Huyu katibu mkuu aliyetumbuliwa alikuwa msimamo mmoja na TPDC kuwa sheria ya manunuzi iheshimiwe na Muhongo aache kuingilia.
Muhongo ana kampuni ya kichina anayotaka ipewe ugali huo na sasa wapinzani wake wameanza kung'olewa kuwapisha wateule wapya watakaohakikisha wachina wanalamba asali!
Ukiukwaji wa sheria ya manunuzi ni matumizi mabaya ya madaraka na yanaashiria harufu kali ya ufisadi.
Uongozi mzima wa TPDC sitashangaa ukitumbuliwa ili kupisha madudu haya ya hawa walaji.
Huyu Muhongo pamoja na kugubikwa na kashfa kibao leo anaonekana ni jembe sasa nimeanza kujua sababu kumbe ni kulinda Milo ya wakubwa serikalini.
Halafu hawa hawa wanatumbua wasiyo na hatia kumbe wao ndiyo wanapaswa kutumbuliwa!
Wapo!Wahaya tena kivipi?
Endelea na wimbo huo kama kasuku. Na hata Waziri wa Madini na Nishati hatumbuliwi kwa jinsi mnavyotaka.Na wakati huo huo yule Bashite anaendelea kupeta kama RC Dar kipenzi cha malaika mkuu!
Hata kama biashara asubuhi. Ndiyo imeshaamuliwa!! Tuta invest ktk kujenga mtambo wa kuchenjuaYao ni faida ubaki na mchanga utajijua wao ni biashara huwa asubuhi
Lini na kwa muda upi? Na kwa gharama zipi?Hata kama biashara asubuhi. Ndiyo imeshaamuliwa!! Tuta invest ktk kujenga mtambo wa kuchenjua
Waziri hajatofautina na Katibu Mkuu wa Wizara Bali amekuwa ndiye mtoa taarifa kwa Rais kWaziri katofautiana na katibu mkuu haya ndiyo matokeo yake.
Kuhusu uwajibikaji wizarani utamaduni Waziri huanza na wengine kufuata.
Haiwezekani Waziri asimamie wizara mambo yakienda vizuri azoe sifa yakiharibika asepe eti yeye siyo Mtendaji. Kwani watendaji huwajibika kwa nani?
Tuna haraka gani muda ukifika nchi itakuwa na huo uwezo wa kujenga lakini si kuendelea kupoteza kila kituLini na kwa muda upi? Na kwa gharama zipi?