Mzee Mengi alikua 70+, alikua na kisukari na aliwahi kupata stroke, mlitaka apumzike akiwa na miaka mingapi kwa Hali hiyo. Hata uongeaji wake ulikua wa tabu. Anatafutwa mchawi nani kwa vitu vya wazi kabisa
Sasa, kwa mwendo ule Kulikuwa Na haja gani kumshawishi kwenda Dubai vacation? Safari ndefu dsm to Dubai?
Wewe mbona ulimkimbia mumeo kule Mbeya na alipokufa ukaja humu na thread ya kuomba pesa usafiri kwenda kwny msiba wa mumeo?Ashukuriwe Mungu sana Regina alimkimbilia mzazi wake vinginevyo angeweza kufa na kuzikwa huko huko
Eti aishi miaka mingapi, we lofa kweli, hata 100 if God wills so! Mbona Mugabe anadunda?Hao mi naona wangekaa kimya tu ili busara zao zizidi kuonekana.
Walitaka aishi miaka mingapi?
Heri vifo vya mafukara.
Kwani MAZINGIRA yapoje mkuu?Mkuu acha kujibebisha!!
Mazingira ya kifo yanaleta utata
ina maana vigori wako after money?Tusipokomesha huu uovu, wazee wengi waliooa vigori kwa ndoa wataendelea kuuwawa
hapa nimenusa harufu ya zengwe kwa huyu binti,,huwezi ukaanza kufuatilia homicide baada ya mazishi kufanyika,ushahidi utabase kwa maneno ya mtandaoni na msibani?,au ndo binti anasukiwa zengwe la moneylaundry
Acha kuleta habari za kikabila hapa Mkuu bhna... Wachaga Hatupumui?Wachaga hawana utu kwenye pesa, washjua marehem kampa nafas kubwa mkewe na watoto wake wameanza tengeneza zengwe ili huyu mjane asipate kitu, Mungu anaona hata wao pia hawatokuwa salama kama huyu bint atakutwa na baya kwenye hili
Mkuu hizi mambo za Wachagga zinatoka wapi??? Acheni tupumue bhanaWachaga kwenye pesa utawajua tu, hii n trick ya kumtoa mama yao wa kambo kwenye reli kisa tamaa ya pesa
Eti alipigiwa simu Dubai na watoto wa marehemu kuulizia hali yake inaendeleaje....akasema mzee yuko fresh, wasiwe na wasiwasi kumbe watu wako njiani wanakuja wamefika wakamkuta mzee ICU...sijui kweli hizi stori ni za kweli!Kwa kweli ..amejitafutia balaa kubwa sana " Jela ina muita ...labda umuhonge jiwe papuchi huwenda akanusurika ...lakini jiwe alikuwa na mahusiano ya karibu na marehemu sidhani kama atahadaika na kulifumbia macho hili .....
Naona wazi kuna bonge moja la kesi litaibuka nakuitikisa nchi kama ilivyo kuwa kwa kifo cha kanumba na kesi ya mauaji ya Elizabeth Michael (lulu)
AMA KWELI TAMAA MBAYA
Duuh...hii italeta hatarKweli na JK kadhibitisha kuwa binti na mdogo wa Mengi walikua huko dubai mzee akiwa hoi. Jambo ambalo wengi hatukufahamu. Kwa busara wangekaa kimya tu ikaonekana ni gossip
Ya molestationSio bongo tu mkuu ata mbele we haujasikia mwili wa Michael Jackson inatakiwa ufukuliwe kwa sababu kesi flani hivi nimesahau ila fuatilia hiyo habar
Heheheh alikua ananichosha tu na zile Aunty Mercy lol...undugunization hatariiYaani Rachel Temu kaharisha haswa huko Insta Live tena amesema ana kibali cha FAMILIA kusema aliyosema, ana NOTICE za maisha ya babu na Jacky alipewa tangu mwaka jana na watoto wa marehemu.. Huyu Jacky ana wakati mgumu sana.
Moyo kusimama ni mengine na ya kuanguka akiwa peke yake chumbani ni mengineHivi ule mwendo wa Mengi recently ni kitu cha kushangaa ukisikia moyo umesimama?hizi ni mbinu tu za kummwaga dada wa watu kwenye mirathi