Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Nimetazama taarifa za matukio ya jaribio la kutaka kumpindua Rais wa Turkey....Kwa waliotazama speech yake ni kuwa amewaomba wananchi wafanye maandamano kuelekea kwenye uwanja Taksim square.
Swali nililojiuliza ni kuwa;
Kwa nini Rais Erdogan hakuomba vyombo vya ulizi na usalama kama polisi, magereza, FFU, Usalama wa taifa, na majeshi na private companies kuzuia jaribio! isipokuwa aliwaomba wananchi kuandamana kuzuia kupinduliwa kwake?
Nilichojifunza ni kuwa hata watawala wanatambua kuwa nguvu kubwa kabisa ni nguvu ya umma "wananchi", wala sio mabomu ya machozi, vifaru n.k
Erdogan ametoa somo kubwa sana kwa watawala....
Ni hayo tu
Tume ya katiba
Mod tafadhari msiunganishe huu uzi...kuna kaujumbe hapa
Swali nililojiuliza ni kuwa;
Kwa nini Rais Erdogan hakuomba vyombo vya ulizi na usalama kama polisi, magereza, FFU, Usalama wa taifa, na majeshi na private companies kuzuia jaribio! isipokuwa aliwaomba wananchi kuandamana kuzuia kupinduliwa kwake?
Nilichojifunza ni kuwa hata watawala wanatambua kuwa nguvu kubwa kabisa ni nguvu ya umma "wananchi", wala sio mabomu ya machozi, vifaru n.k
Erdogan ametoa somo kubwa sana kwa watawala....
Ni hayo tu
Tume ya katiba
Mod tafadhari msiunganishe huu uzi...kuna kaujumbe hapa