Kauli ya Rais Magufuli kuhusu ugunduzi mpya wa gesi aina ya Helium nchini

Kwani rasilimali zingine mf. Madini, gesi, makaa ya mawe, mbuga za wanyama n.k zinatunufaishaje kama Taifa??
 
Hivi UDSM mbona wanatuaibisha sana atoke mzungu Ulaya huko anagundua gesi maproffesor wetu wa UDSM wapo wapo tu kazi yao kubwa ni kudesa tu na kukariri vitabu vilivyopitwa na wakati...Ugunduzi.Utafiti ni Zero kabisa..SHAME ON THEM UDSM
Kwa akili yako hao wazungu walifikishwa hapo na Malaika Gabrel? Wasomi wetu wanayo ramani ya nchi nzima inayoonesha miamba na madini na gesi iliyopo na imekuwa hapo toka miaka milioni ngapi iliyopita.
Kinachofanywa sasa ni kujua kiasi kilichopo kina wingi gani na kama kinatosha kuita wawekezaji kwa ajili ya kuweka mitambo ya kuivuna. Uvunaji huitaji teknolojia kubwa ambayo Tanzania hatunayo
 
Hivi UDSM mbona wanatuaibisha sana atoke mzungu Ulaya huko anagundua gesi maproffesor wetu wa UDSM wapo wapo tu kazi yao kubwa ni kudesa tu na kukariri vitabu vilivyopitwa na wakati...Ugunduzi.Utafiti ni Zero kabisa..SHAME ON THEM UDSM
Si ndio hao akina Benson Bana na Muhongo wanaganga njaa tu hawana cha kugundua
 
Hakika Mungu ameikumbuka Tanzania.....tupo na kwa jinsi yeyote ile hakuna wakutuzulumu tena. The old is gone tazama tumetengenezewa mwanzo mpya.....Mungu akiwa upande wetu nani atakuwa kinyume chetu? Kwa hakika Tanzania njema is a must project
Almasi, dhahabu Tanzanite, uranium, chuma, makaa ya mawe Gesi, wanyama pori ukanda wa zaidi ya 1000km wa bahari, maziwa makuu, hali nzuri ya hewa, utulivu wa kisiasa vimetusaidiaje sisi wananchi wa hali ya chini kiasi sasa unaanza kushangilia helium??
 
Utafiti na maendeleo (Research and Development)! hii kitu haipo kwenye vichwa vya watawala wetu. Hii ingesadia sana kuboresha elimu ambapo wataalamu wazawa wangepatikana na kwa utashi na uzalendo wangegundua rasilimali zetu alizotukirimia Muumba wetu. Tukishagundua hata jinsi ya kuchakata tutazipanga kupitia R&D na kama ni kuwakaribisha wawekezaji tunawakaribisha kwa masharti yetu sisi!

Tunashindwa kufaidi wanyama pori wetu huku tukiambowa nusu ya Watanzania hatupati virutubisho. Utafiti ungetuelekeza jinsi ya kuvuna wanyama pori, kuhifadhi na hatimaye kufikisha kwa walaji na hapohapo utalii unaendelea kama kawaida.

Utafiti utuelekeze jinsi tutakavyotumia gesi majumbani mwetu!

Utafiti utuelekeze jinsi ya kutumia makaa ya mawe kupata umeme, majumbani na hata kusafirisha nchi za nje.

Utafiti utuonyeshe jinsi ya kupanda miti nchi nzima kupunguza hewa ya ukaa.

Utafiti utuonyeshe jinsi ya kuvuna mazao ya bahari kwa kiwango cha kulisha wananchi kila mwaka.

Utafiti utuonyeshe jinsi ya kuwarekebisha wafugaji watulie sehemu moja sio kuhamahama na kuleta ugomvi na wakulima kila mara.

Yako mengi lakini zaidi ni ELIMU ELIMU ELIMU kwa ajili ya kujinasua kutoka katika lindi la umaskini.
 
Almasi, dhahabu Tanzanite, uranium, chuma, makaa ya mawe Gesi, wanyama pori ukanda wa zaidi ya 1000km wa bahari, maziwa makuu, hali nzuri ya hewa, utulivu wa kisiasa vimetusaidiaje sisi wananchi wa hali ya chini kiasi sasa unaanza kushangilia helium??

Soma pole pope then elewa post yangu theme yake ni nini....Am not talking of old things am for the new beggining.....kwaheri!
 
Kwa akili yako hao wazungu walifikishwa hapo na Malaika Gabrel? Wasomi wetu wanayo ramani ya nchi nzima inayoonesha miamba na madini na gesi iliyopo na imekuwa hapo toka miaka milioni ngapi iliyopita.
Kinachofanywa sasa ni kujua kiasi kilichopo kina wingi gani na kama kinatosha kuita wawekezaji kwa ajili ya kuweka mitambo ya kuivuna. Uvunaji huitaji teknolojia kubwa ambayo Tanzania hatunayo

Umewasaidia mkuu watu wenye mawazo kama hayo...trapped into their pasts...always complaining bila hata kutaka kujiondoa kwenye statusquo zao!
 
kutegemea Tanzania njema kwa gesi hii ni ndoto maana lundo la rasilimali ambazo tunazo tayari linatosha kutufanya tuwe Uswizi au hata USA. Kabla ya kusubiri mikataba mipya ni kwa nini tusifanya amendment kwa hii mibovu!?
Kikubwa hapa ni akili na sio asilimali, mbali na hapo tutakuwa na rasilimali nyingi lakini zitavumbuliwa na wenye akili kama hii na mwisho ndio watanufaika wao, kwa nini hujiulizi tulikuwa wapi mpaka tusijue uwepo wa hii gesi!
Acha kujifusha class, yaani hapo ulipo unaonekana umeshakata tamaa. Acha sisi wengine tuendelee kufikili
 
Mheshimiwa katika hili usifanye makosa ya kutumia wanasiasa na maprofesa wa vyuo vikuu. Tumia wachakalikaji walioko kwenye biashara ya gesi. Naamini huko huko migodini utawakuta wachumi na wanasheria kiuzoefu na kitaaluma si lazima uwatoe University.
 
Kiukwel Tanzania ina resource nyingi cn ila issue mfumo wetu umekumbwa na siasa nyingi na porojo ziczo za maana hyo gesi iliyogundulika hapa tanzania ni utajiri tosha kinacho takiwa mfumo uliopo utafite wawekezaji wanao eleweka na pia sheria hicmamie kikamilifu naamin mafanikio tutayapata mfano ss hv kuna bomba la mafuta mwez ujao linaanza kujengwa nikitu ambacho kikicmamiwa vzr furusa ya tanzania hitakuwa kubwa lakin tukiachana na siasa kwenye mambo ya kimaendeleo
 
Co wazungu wamegundua pekee yao wameshilikiana na baadhi ya watanzania kufanya huu utafiti na ndipo sample hikaonekana kuna kitu kama hcho na pia mzungu hawezi kuingia tu nchini nila serikali kujuwa lazima waneshilikiana
 
Co kila taifa linauwezo wa kuendesha uchimbaji wa gesi duniani kuna mataifa machache yenyeuwezo wa kuchimba gesi hapo serikali hitaona hiingie mkataba na taifa gani lenye uwezo mkubwa wa uchimbaji
 
Back
Top Bottom