Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Ata epicentre ya Italy kwenye Coronavirus ilikuwa Lombardy na chanzo ni champions league match ya Atlanta na Valencia. Watu kibao walienda kwenye match ilifanyikia Milan baada kuona uwanja wao usingetosha kilochofuata wataliano awawezi sahau.
Pamoja na makelele yote, athari zote lakini hakuna mtu mwenye sauti ya kuzuia haya maombi ama kweli madaraka ya raisi kwenye katiba yanatisha basi mtu anaipiga nchi kiberiti hakuna mwenye uthubutu wa kukemea.
Pamoja na makelele yote, athari zote lakini hakuna mtu mwenye sauti ya kuzuia haya maombi ama kweli madaraka ya raisi kwenye katiba yanatisha basi mtu anaipiga nchi kiberiti hakuna mwenye uthubutu wa kukemea.