Boooongeee
Member
- Apr 4, 2012
- 19
- 3
Nakumbuka Kauli ya mwisho ambayo Mwalimu aliwahi kuitoa kuhusu Mzee Mtei Edwin pale nyumbani kwake Msasani, aliguna sana baada ya kusikia Mzee Mtei na wenzake wameanzisha Chama cha Siasa...
Alisema...."..Heeee,Ina maaana Mtei bado anaendeleza nia yake ile ile ya toka zamani...?? Haya kila la kheri kwao..
Alisema...."..Heeee,Ina maaana Mtei bado anaendeleza nia yake ile ile ya toka zamani...?? Haya kila la kheri kwao..