Kauli ya Mwisho ya Mwalimu kuhusu Mzee Mtei pale nyumbani kwake Msasani..

Kimsingi chama cha siasa kinaweza kuwa yakinifu kwa kuamini moyoni na kutekeleza sera zake kwa vitendo. Nyerere alishaona mambo mengi yaliyomo katika miongozo ya CCM hazitekelezeki na imeshatupwa, hasa kule zenji. Kwa mtazamo wa kitabu cha animal farm, falsafa hizo za kirusi zilitabiriwa kushindwa na ikawa hivyo. Siasa za Mrango wa kati ndio ambazo zinalengwa na wote, wale waliokuwa WA-cummunist na Mabepari. Mtei alijua hayo mapema sana, ndio maana alikuwa anakwaruzana na Mwalimu hasa katika mambo ya uchumi. Laiti mwalimu angemsikilize kwa makini Mzee Mtei (Genius economist) basi tungekuwa mbali. Kwa sisi tunaomfahamu Mzee mtei na historia yake, si ajabu kwa mwalimu kuona kwamba CDM itaja chukua nchi. Kwa kweli falsafa ya chadema imeandikwa ikaandikika.
 
Chama chochote kile kitakachokuwa na sera za kuwajari wanyonge hakika kitashinda Tanzania, Kama Mwalimu aliona sera za Chadema ni nzuri ndiyo maana aliona kuwa hiki chama kinafaa hata Mzee Edwin Mtei alikuwa na nia ya dhati ya kumpa hizo Sera mbadala kuonyesha kuwa hakuwa tayari kuendelea kuburuzwa na sera zisizotekelezeka. Sisi kama watanzania tuna kazi ya ziada kuhakikisha tunakuwa na sera madhubuti ili kujenga maadili yanayomomonyoka kila kukicha. KATIBA MPYA INAWEZA KUWA SULUHU YETU. Watendaji wabovu ndio wametufikisha hapa tulipo.
 
CHADEMA ni chama hatari kwa ccm. "by nyerere 1993"
Wakti huo chadema kililionekana kuwa kundi la watu wasiojua walifanyalo!!
 
mimi naona hii kama mistari ya taarab tu (na personally mi si mpenzi wa taarab unfortunately).

can someone say what they want others to know?
Unapenda sana tarabu? Wewe ndo unaleta huo mziki wako wa pwani
 
Wakati anamnadi Mkapa, Nyerere aliwaahidi watanzania kuwa Mkapa alikuwa na uwezo wa kupambana na rushwa!
 
Mkuu jmushi heshima Mbele

Yaani Ma-Great Thinkers wanaleta habari zisizo na kichwa wala miguu, wanaleta habari kana kwamba watu wako chumbani wanaongea, thread kama hizi hazina tija kabisa, unasoma mpaka page ya nne hakuna unachoelewa, ni mafumbo mafumbo tu kama watoto wa kike

unamuuliza mtu anakujibu nenda kwa Mama Maria, ni ujinga kabisa, humu ndani kuna member wangapi? kwa hiyo wote waende kwa Mama Maria kuuliza kitu ambacho mtoa Hoja anakijua?

Tupo humu kujifunza, kuelimika, kupata ustaharabu, kukosolewa, lakini kwa thread kama hii tunajifunza umbea wa kikekike tu
Vilevile mama Maria hawezi kukumbuka kila kitu. Sio sahihi kwenda kuuliza kila kitu kwake.
 
Jamani tusipotoshe historia. Balozi Paul Ndobho hakuwahi kuwa Mwanachama wa Chadema. Alishinda kwa tiketi ya NCCR- Mageuzi Musoma Vijijini 1995 na aliisharudi CCM miaka mingi sasa.Aliyekuwa Mbunge wa Musoma Mjini ni Marehemu Dr. Emmanuel Changalawe Magoti (Nyongeza tu ni kuwa Jimbo la Musoma Mjini halina historia ya wabunge kukaa zaidi ya miaka 5, aliyeweza ni Marehemu Abel Kyagunya Mwanga -angalau vipindi vitatu lakini Magoti,Wakanga Marwa na Mathayo Manyinyi ni only five years each)
Umenena kweli Mkuu Balozi Ndhobho alikuww NCCR kama Wassira na wote walipata ubunge kupitia NCR huko mkoani Mara.
Hakika Musoma mjini imeonyesha ni kipindi kimoja; sijui itakuwaje kwa Vicent.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom