masumbuko dogo
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 456
- 118
Hilo ndio Tamko la Bakwata kwa Waislam, waislam watamfuata maana wengi wanaipenda Bakwata isipokuwa imani kali wachache ndio wanaichukia Bakwata
Siyo kweli waislamu wengi wanaipenda BAKWATA. Wasomi wa kiislamu hawaitaki...wenyewe hawafuati
Katiba yao.....na kuna ufisadi kibao.Hawafuati sheria za serikali..ukiiba Bakwata hupelekwi mahakamani wala hukatwi mkono..unaachishwa kazi tu.