Kauli ya Mufti juu ya katiba mpya

Kauli ya Mufti juu ya katiba mpya

Mufti nae alikuwepo kwenye kikao cha maasikofu, au alipewa waraka juu ya maazimio ya maasikofu, akakubaliana nao na kusaini?

wewe unamjua Gwajima au unamsikia?alivyomgonga mke wa Mbasha mpaka kumpa kibendi aliozeshwa na nani?
 
Kwi kwi kwi kwi lol! wewe bado kweli! Wenye akili na upeo mkubwa wa uelewa wa demokrasia ni wale ambao hawawaambii waumini wao namna ya kupiga kura ila wale wanaowaambia waumini wao wapike kura ya HAPANA kwako wewe wana upeo na akili finyu!!!! Na MACCM nao wanaopigia debe kura ya NDIYO badala ya kuacha Watanzania tupige kura ile ambayo tunaona itafaa nao wana upeo na akili finyu?

wewe unaonaje?ccm wana akili finyu au wana akili Sana?
 
Unasemaje kuhusu upeo wa viongozi wa chama (CCM) wanaosema tuipigie kura ya ndio ina maana wao hawana upeo?

Vyama vya siasa ruksa kupiga kampeni ya kutaka watu wapige kura ya ndio au hapana.Sababu ni vyama vya siasa ndio kazi yao kuwa na upande wanaoegemea.Viongozi wa dini si wanasiasa.Mle ndani ya dini zao wana watu wa CCM,UKAWA na watu wasio na vyama wote ni abiria wao KWA HIYO KIONGOZI WA DINI HATAKIWI KUWA NA UPANDE WOWOTE .AKIWA NA upande anaigawa hiyo DINI na waumini KWA MISINGI YA ITIKKADI YA VYAMA Vya siasa vinavyotaka ndiyo au hapana.Vyama mwisho wake ni kwenye mlango wa kanisa au msikiti huko ndani ni mwenyezi Mungu tu mambo ya kura ni ya waumini wenyewe huko nje na vyama vyao Dini ndio inawaunganisha wote NDIO MAANA SIKU ZOTE INAKATAZWA VIONGOZI WA DINI KUCHANGANYA DINI NA SIASA ILI WASIZIGAWE DINI ZAO NA WAUMINI WAO KWENYE MAKUNDI HASIMU NDANI YA DINI.

Fikiria kiongozi wa dini anaunga mkono CCM wazi na kwa kutamka unategemea Ukawa atasali vizuri?au Kiongozi anaunga mkono UKAWA waziwazi hivi CCM atasali vizuri humo ndani? Kuombwa watenganishe dini na siasa ni kwa usalama wa heshima zao na amani katika dini zao

Pengo na sheikh mkuu wamesema kila mtu awe huru kupiga kura atakavyo.Hivyo mtu akienda kuswali awe UKawa AU CCM atajisikia vizuri tu hakuna atakayedai MUFTI au Pengo ana upande wowote sababu wametoa uhuru wenye ndiyo pigeni wenye hapana pigeni ni demokrasia yenu.
 
Ngoja Gwajima apone aje kumpa vipande vyake....lazima sasa hivi Gwajima itakuwa hamuheshimu tena huyo mufti
Wewe Mufti kisiki cha mpingo huyo hatukaniki Gwajima hapo hawezi thubutu kutukana huyo.Anajua akitukana tu adhabu yake ni kaburi.Kuwa MUFTI lazima ujue mengi kuliko Gwajima anayoyajua.
 
Simuoni Alhaj Ally Kombo na hajrat FaizaFoxy hapa sebuleni kwao
 
Back
Top Bottom