Uchaguzi 2020 Kauli ya Membe leo imedhihirisha kuwa Tundu Lissu hatunaye tena kwenye uchaguzi ujao

Halafu hii tabia ya kuanza kumuwekea mshindani wako vizingiti mlangoni ili asiingie ulingoni mpambane kwa maoni yangu ni woga uliopitiliza, hasa ikizingatiwa kwamba wewe mwenyewe unajinasibu kwamba umefanya mengi na makubwa. Ningekuwa na uwezo sheria au vikwazo vinavyowekwa ili kum disqualify mgombea vingefutiliwa mbali, hata kama amekosea kujaza fomu aitwe na aelekezwe, ili mwisho wa siku wagombea wakutane uso kwa uso mwenyewe na wapiga kura wao. Pia kwenye kupigiwa kura kwenye masanduku ya kura nyuma yake iwekwe picha ya anayeomba kuchaguliwa na masanduku yapangwe mstari ili kila mpiga kura aende moja kwa moja kwenye mstari wa boksi analomtaka kumpigia kura na iwe live au waandishi waruhusiwe kuchukua matukio moja kwa moja, kama ilivyokuwa uchaguzi wa wajumbe wa CCM.

Unataka aaibike😁 hilo swala hataki sikia kabisa
 
Lile swala pale kanisani ..ni kitu gani kile? Hadi askofu na yeye anasema wamchague, yani ningekuwa pale kanisani ningeongea neno kumchana yule askofu na mwsho kusali pale au atuachie kanisa letu
 
Deep down unajua that is not the case.

Unapoenda kuomba kazi kigezo cha mwajiri kikisema applicant asiwe na criminal record ndani ya miaka 3 it means that.

Kanuni zipo wazi ukishachukua form za kugombea uraisi uruhusiwi kufanya campaign mpaka tarehe 26.

Kilichobaki ni kuombea busara itumike NEC lakini kwenye kuvunja kanuni lipo wazi.

Mchana mwema mkuu.

Kama ni kampeni kabla ya wakat mkulu wako ndo akatwe au mnamuogopa
 
Nimsifie kwa lipi jipya?nimeshamsifia sana pale ninapoona anafanya vyema ninamshushia sifa zake, akikosea pia ninasema amekosea, nimeshamsifia sana kwenye barabara, umeme, maji, ukusanyaji wa kodi n.k unataka niwe ninasifia kila siku?mada iliyopo ni ya lissu, kwa upande wangu ninaona amezingua, sheria zinatafsiriwa, aepuke migongano isiyo ya lazima

Huyo wa makanisani humuoni
 
Wanajua sana wanachofanya na haya ni kwa maelekezo ya akina Amsterdam wakidhani Serikali ya Tanzania inawaogopa na eti itawaacha wavunje sheria kwa vitisho vya mabeberu. Haita wezekana kwetu hapa Tanzania, atakaye vunja sheria atakiona tu. Baada ya hapo aende popote.

We ni bendera fata upepo afu wewe maneno yako hayana mashiko ww najua hulipwi
 
Wacha uongo, kuna kipindi cha kampeni kinajulikana, kila nchi ina utaratibu wake ndio sababu JPM alipiga marufuku kampeni ambazo hazina mwisho. Unakumbuka kisa cha kwa nini marehemu Akwilina aliuawa? Ni ukaidi wa Chadema kujifanya wao wanafahamu zaidi sheria kuliko waliotunga sheria na wanaosimamia sheria.

Siasa za maji taka haziwezi kuondoa umasikini kwenye Jamii ya Watanzania.

Kwa hiyo mmekiri mlimuua
 
Ile UHURU kuna jambo wana muziki zaidi ya 100 haikuwa kampeni?? Tusifokeane

Sheria ya ccm wanataka kuifanya iwe sheria ya nchi???
Tanzania hajatokea nguli wa sheria kama Lisu, na anafahamu nini anafanya katka mambo ya sheria.
Membe hauziki na asitegemee mtaji wa chadema kuingia ikulu,, act iko kigoma tu.
Membe anawaza lisu aengiliwe ili atembelee mgongo wa chdm...
 
Habari wadau,

Kwanza niwapongeze viongozi wote wa vyama vya kisiasa walio Tia Nia ya Kugombea Urais bila kuonyesha dalili zozote za kuchafua nchi

Nanukuu
Rais Magufuli alipoenda kuchukua form Alisema nimekuja peke yangu kwa sababu sitaki kuvunja sheria kwani hairuusiw Mgombea kuongozana na umati wa watu kwenye ofisi za kuchukulia form

Membe Leo kasema kua wametafuta wadhamin Ndani ya mikoa 10 kimia kimia ili kukwepa Mtego. Je, huo Mtego ni upi?

Juzi Tundu Lissu ameanza kutoa vitisho kuwa anasikia wanataka kumkata japo wahusika hawaja taja Jina mtu yeyote wala hawaja ongea habar za kumkata mtu ila wao wamejikita katika misingi ya kuendelea kuwakumbusha wagombea kufata sheria na kusema Atae junja sheria ya uchaguzi Basi wata mshuhulikia

Nacho jiuliza mimi ni haya maneno ya Membe na kwanini Tundu Lissu na chadema wajihisi ni Wao ndio walio Anza kampen kabla ya muda kwanin wajihisi ni wao ndio walio tukana kwann wajihisi ni wao ndio Wata katwa!?

Au wanajua walilo yatenda?
HUU UZI UMEANDIKA UKIWA UNAPUMULIWA KISOGONI?
 
Unaonekana una busara sana mkuu hata katika uhalisia wako. Mbona kuna wengine wamevaa ngozi ya kijani hadi busara zimewatoka?
Tatizo ni malezi tu,kama umelelewa sawasawa,umetoka katika jamii ya kistaarabu,huwezi kuchukia mtu kwa sababu ya kisiasa au hadi kufikia kuua mtu kwa mambo ya kupita tu,,,hakuna mbunge,waziri ama rais wa milele...
 
Habari wadau,

Kwanza niwapongeze viongozi wote wa vyama vya kisiasa walio Tia Nia ya Kugombea Urais bila kuonyesha dalili zozote za kuchafua nchi

Nanukuu
Rais Magufuli alipoenda kuchukua form Alisema nimekuja peke yangu kwa sababu sitaki kuvunja sheria kwani hairuusiw Mgombea kuongozana na umati wa watu kwenye ofisi za kuchukulia form

Membe Leo kasema kua wametafuta wadhamin Ndani ya mikoa 10 kimia kimia ili kukwepa Mtego. Je, huo Mtego ni upi?

Juzi Tundu Lissu ameanza kutoa vitisho kuwa anasikia wanataka kumkata japo wahusika hawaja taja Jina mtu yeyote wala hawaja ongea habar za kumkata mtu ila wao wamejikita katika misingi ya kuendelea kuwakumbusha wagombea kufata sheria na kusema Atae junja sheria ya uchaguzi Basi wata mshuhulikia

Nacho jiuliza mimi ni haya maneno ya Membe na kwanini Tundu Lissu na chadema wajihisi ni Wao ndio walio Anza kampen kabla ya muda kwanin wajihisi ni wao ndio walio tukana kwann wajihisi ni wao ndio Wata katwa!?

Au wanajua walilo yatenda?
Shehe vipi,gwajima kasema kawe itakua kama paradiso umemsikia
 
Umbumbumbu wa kutojia sheria ni janga kwa tulio wengi.

Pole yetu!!
 
Binadamu anafungwa miguu na mikono anaswekwa kwenye salufeti halafu anatoswa baharini coco, just imagine huyo ni mwanao au mama yako au kaka yako au mdogo wako...

Hapana kwa kweli. Mwaka huu JM nisamehe tu. Sitakupa kura yangu liwe fundisho
 
Tundu lissu, hajatumia busara kabisa katika hili, sitashangaa wala kusikitika endapo tume ikimuengua
Mataga mnafarijiana, hakuna mtu au kikundi cha wahuni kinachoweza kuthubutu kumkata mgombea.
Tutagawana mbao awamu hii
 
Kila mgombea aliamua kutumia njia yake ,na wala haiwezi kuhalalisha kuwa mmoja wapo kuwa anamakosa ikiwa hakuvunja kanuni na sheria za uchaguzi. Sidhani kama Lissu alikuwa hajui atendalo
 
[QUOTECbdulhamis, post: 36434586, member: 561820"]
Habari wadau,

Kwanza niwapongeze viongozi wote wa vyama vya kisiasa walio Tia Nia ya Kugombea Urais bila kuonyesha dalili zozote za kuchafua nchi

Nanukuu
Rais Magufuli alipoenda kuchukua form Alisema nimekuja peke yangu kwa sababu sitaki kuvunja sheria kwani hairuusiw Mgombea kuongozana na umati wa watu kwenye ofisi za kuchukulia form

Membe Leo kasema kua wametafuta wadhamin Ndani ya mikoa 10 kimia kimia ili kukwepa Mtego. Je, huo Mtego ni upi?

Juzi Tundu Lissu ameanza kutoa vitisho kuwa anasikia wanataka kumkata japo wahusika hawaja taja Jina mtu yeyote wala hawaja ongea habar za kumkata mtu ila wao wamejikita katika misingi ya kuendelea kuwakumbusha wagombea kufata sheria na kusema Atae junja sheria ya uchaguzi Basi wata mshuhulikia

Nacho jiuliza mimi ni haya maneno ya Membe na kwanini Tundu Lissu na chadema wajihisi ni Wao ndio walio Anza kampen kabla ya muda kwanin wajihisi ni wao ndio walio tukana kwann wajihisi ni wao ndio Wata katwa!?

Au wanajua walilo yatenda?
[/QUOTE]
Nyinyi CCM hakika matendo yenu hayana tofauti na matendo ya shetani!

Hivi inakuwaje mkifanya nyinyi inakuwa ruksa, lakini wakifanya wapinzani haramu?

Refer kule Mbeya, Sugu akikamatwa na kupelekea kituo cha Polisi, kwa kile ambacho Polisi walikiita amefanya makosa kwa kwenda kuchukua fomu na maandamano.............

Lakini wakati huo huo Tulia Ackson ameenda kuchukua fomu, huku akisindikizwa na mamia ya washabiki wake, huku gari za Polisi za "Difenda" zikiongoza maandamano hayo na kuonekana ni halali!

Hakika hii "double standard" wanayoiendesha Jeshi la Polisi, inatia kinyaaa kabisa!
 
Back
Top Bottom