Kauli ya Mbowe: UKAWA kutoka bungeni

Kauli ya Mbowe: UKAWA kutoka bungeni

Ukawa nasema wamechelewa sana kutoka bungeni tokea siku ile jk alivyo fungua bunge walitakiwa watoke ccm wamekula mavi ya nguruwe ili walinde maslahi yao
 
....... Nasubiri kuona ni nini kitafuata baada ya hili
 
Wakulaumiwa ni Jakaya Kikwete, yeye ndiye aliyeuharibu mchakato mzima kwa ile hotuba yake aliyeitoa wakati anazindua Bunge la Katiba. Hayo mengine ni mazao machungu ya kuendekeza u-chama na kuyaacha matakwa wa wananchi...!
 
- Ukishatawaliwa miaka 50 ni sawa na kutawaliwa kwa maisha yako yote maana unahitaji miaka 50 zaidi kujikomboa, sasa umetawaliwa na CCM halafu ukatawaliwa na Chadema, Muasisi anasema MWalimu ni safi wapambe wanasema sio ndio matokeo a kutawaliwa miaka 50 na milele ijayo

Le Mutuz System

Malecela, kumbuka kuwa sio watanzania wote wametawaliwa miaka hiyo 50. Tuna vijana ambao umri wao ni mdogo kuliko hiyo 50 years na ndio majority.



Kwa hiyo umekosea.
 
Kutoka katika bunge kila mara imekuwa tabia mpya ya CDM baada ya kichaa Lissu kujiunga na Chama hicho, kilicho ni shangaza je! tumewatuma wabunge wetu wa upinzani kukimbia vikao vya bunge? Au tuliwatuma kupitisha serikali 3 tulizo zidai kwenye maoni aliyo yakusanya Warioba!
Mbowe na kundi lake ni wanafki wa nchi hii.
Prof Lipumba naye ameanza kucheza za Ngoma ya Chadema mmmmmm asishangae tukampa jina...
 
CCM ni chama dume kitaendelea kupeta daima,Mbowe na wenzake wamekosa hoja ndiyo maana wameamu kutoka bungeni maana wameona walichokuwa wanakitegemea hakitakuwa na hivyo watashindwa cha kuwaeleza wafuasi wao wanywa viloba.

Na wafuasi wa sisiemu ni m.a.ji.k.e wanaosubiri viongozi wa sisiemu(Madume) wawafyatue!
 
Back
Top Bottom