mwanamakambako
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 780
- 120
Kwa kweli kama ni watanzania kuchezewa na serikali ya ccm, tumechezewa vya kutosha, sasa inatosha, hatuwezi kufanywa wendawazimu siku zote kwa kupumbazwa na muungano ambao haupo, sijawahi kuona au kusikia duniani kote, nchi mbili zinaungana na kutengeneza serikali mbili, haya ni maajabu, sisi tunataka katiba mpya, tumetoa mawazo yetu, sasa leo hii wanapoleta ubabe kwa kutumia wingi wao bila hoja, kulejesha muundo wa serikali mbili uleule tulioukataa, ambao kiuharisia haupo kutokana na Zanzibar kuunda katiba inayowatambulisha kuwa nchi kamili, je hii ndiyo katiba mpya tuliyoitaka watanzania, baada ya kunyanyasika kwa muda wa miaka hamsini, hapana tumechoka, tupo tayari kwa lolote katiba mpya ipatikane, na siyo kurejesha ya zamani.