lito jiniaz
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 205
- 77
mbna kitoga wenu alisema ukawa wakichukua nchi patakuwa kama libya na hamkupayuka? mnachunguza sana ya wapinzan kulko yenu?..tume ishasema hayo n maneno ya kisiasa, kaen mtulie
tutenda na magufuli mpaka ikulu.jana mwenyekiti wa chadema alitoa kauli moja akisema ili uchaguzi uwe huru na haki lazima tume ya uchaguzi imtangaze mgombea wa ukawa kuwa mshindi. Ukimwona kiongozi anatoa kauli kama hizo ni dhahili kuwa amefirisika na hana cha kuongea mbele ya wananchi ila kuhamasisha vurugu.
Ikumbukwe kuwa siyo mara ya kwanza kwa mbowe kuituhumu tume ya uchaguzi na maneno ya kejeli pia kuiona kana kwamba siyo taasisi huru ya utendaji haki hapa nchini.
Ikumbukwe kuwa pia alishawahi kusema rais kikwete atoe utaratibu wa kumwapisha mgombea wa ukawa ,ukiangalia kauli zote zimekaa kichochezi na si za kufanyia dhihaka hata kidogo
mbowe taifa letu ni zaidi ya urais na ulimi wako lazima uuchunge kwa sababu unaweza kusababisha kauli zenye kuhatarisha amani ya taifa letu.
Uvivu wako unakufanya uwe masikini hadi unalipwa 10,000 na kupandishwa malori. Badilika
Maelite wa KLM walivyokuwa kwenye kampeni zao Moshi hawakuwataka watu wa KLM kulinda kura kama wanavyowaambia misukule yao ya Mikoa mingine, kama ilivyo pia kwenye maandamano ya chadema Mkoa huwo na Mji wake mzuri wa Moshi wenye mandhari nzuri umekuwa ukiepushwa na Maandamano na fujo zinazoshuhudiwa Mikoa mingine kama MB, MZ, KG, KG, Do ,MR, MT n.k maelite wa KLM wamekuwa wakichochea maandamano Geita, Mara, Bukoba na kwa geuza wakazi wa Mikoa hiyo misukule na Manyumbu jambo linalopeleka kuhathiriwa kwa miundombinu ya Mikoa hiyo, kuathiri shughuli za kibishara ambazo wakazi hao wanazihitaji ili waweze kuishi!
Maelite wa KLM walivyokuwa kwenye kampeni zao Moshi hawakuwataka watu wa KLM kulinda kura kama wanavyowaambia misukule yao ya Mikoa mingine, kama ilivyo pia kwenye maandamano ya chadema Mkoa huwo na Mji wake mzuri wa Moshi wenye mandhari nzuri umekuwa ukiepushwa na Maandamano na fujo zinazoshuhudiwa Mikoa mingine kama MB, MZ, KG, KG, Do ,MR, MT n.k maelite wa KLM wamekuwa wakichochea maandamano Geita, Mara, Bukoba na kwa geuza wakazi wa Mikoa hiyo misukule na Manyumbu jambo linalopeleka kuhathiriwa kwa miundombinu ya Mikoa hiyo, kuathiri shughuli za kibishara ambazo wakazi hao wanazihitaji ili waweze kuishi!