Kauli ya Mbowe ilaaniwe na wapenda amani

Kauli ya Mbowe ilaaniwe na wapenda amani

safi sana kwa kujielewa na kufahamu kabisa kuwa ukawa wamejawa na fitna na chuki bila kujali wananchi wao, endelea kuwashaur na wengine ......
 
Wewe ni mtu wa daresalamu unakula chips na miguu ya kuku tuwachie sisi wana mageuzi hauna faida yoyote zaidi mzingo na taharabu.


swissme

Kwakuwa wa kijijini huna faida na maisha yako tuhakikishie umeandika urithi kabla hujaenda kulinda kura au sivyo acha na pesa ya matumizi kwa miezi sita ambayo ukibahatika utakaa hospitali muda huo.
 
Hivi tangu asubuhi ushaanzisha nyuzi ngapi humu?

Hivi unakazi ya kufanya kweli au unaishi kwa shemeji yako?
 
Kauli ya Mbowe jana mkoani Mbeya inanifanya nijitoe kwenye Chadema kwa kuwa inalenga kuleta machafuko hapa nchini. Kauli inayowataka Watanzania walio Wanaukawa kulinda kura zao ni ya kichochezi na haipaswi kuvumiliwa hata kidogo.


Wewe ni Gamba la CCM usihadae watanzania wanaotaka mabadiliko,HAPA LOWASSA TU
 
tuliopo tunatosha, we toka tu.. toka lin ukamuachia fisiem bucha? mnalo 25
 
Mbowe sikuzote nasema ni ZUZU huwa mnadhani natania jamaa nijanga la taifa
 
Mi mwenyewe nishaondoka tokea mambo ya kitapeli tapeli yaanze kati ya Mbowe na genge lake na Lowassa na genge lake!
 
Sisi wakati tunalinda kura wew Mh. Mbowe utakuwa wapi.....?????? Obvious utakua kwako unahakikisha usalama wa familia yako....... Mimi pia nina family mkuu so sitalinda kura unless nikuone wew Mh Mbowe umeiacha family yako na unashirikiana na sisi wanachi hapo nami nitaiacha family yangu na kuungana na vijana wenzangu... Mimi sio Chambo
 
Mbowe hana hasara na watanzania....keshauza chama ata machafuko yakitokea mwenzenu anasepa....mtu mzima kama yule anataka kutuambia hajui sheria za nchi hii.....hawajapewa nchi wanakuwa wababe wakipewa itakuwaje
 
Kwa nini tunasema CCM ni ILE ILE ???
Mke wa Malechela anagombea.
Mke wa Sitta anagombea.
Mtoto wa Kikwete anagombea.
Mtoto wa Makamba anagombea.
Mtoto wa Warioba anagombea.
Mtoto wa Mwinyi anagombea.
Mtoto wa Sokoine anagombea.
Mtoto wa Sitta anagombea.
Mtoto wa Kombani anagombea.
Mtoto wa Mgimwa anagombea.
Mtoto wa Nkya anagombea.
Mtoto wa Mavunde anagombea.
Huku ndiko Magufuli atachagua MAWAZIRI wake!
Je hawa watabadilije ulaghai waliokuwa wakifanya Waume/Baba zao? Kamwe Haiwezekani. Watu ni WALE WALE hivyo CCM ni ILE ILE !!!. Ukifikiria vingine UNAJIDANGANYA.
Chagua MABADILIKO ya KWELI.
Chagua LOWASA, WABUNGE, na MADIWANI wa UKAWA.
 
Kauli ya Mbowe jana mkoani Mbeya inanifanya nijitoe kwenye CHADEMA kwa kuwa inalenga kuleta machafuko hapa nchini.

Kauli inayowataka watanzania walio Wanaukawa kulinda kura zao ni ya kichochezi na haipaswi kuvumiliwa hata kidogo.


kachukuwe buku 7
 
Back
Top Bottom