Naam hatuwezi kuijua sababu si maneno ya Mungu. Ingekuwa Injili, au Taurati au Zaburi sawa, sababu ni vitabu vya Mungu.
Tunahoji, Biblia kwa Yale yaliyomo ndani yake sababu huwa mnasema ni maneno ya Mungu bali ni kitabu kitakatifu.
Wewe bufatilii, Kila siku wanaanzisha kuuongelea vibaya UISLAMU, hili hulioni ? Bali huko mitandaoni mpaka nje, wenzako wanashughulishwa na UISLAMU mno. Ilimradi tu wauchafue lakini hawawezi.
Mimi naendelea kujifunza Qur'an mpaka pale nitakapo Kufa. Biblia sifaitilii Wala Sina haja nayo, bali tunahoji kutokana na yale ambayo mnayazungumza kila uchwao.