Kauli ya kweli: Je, Mungu huomba?

Kauli ya kweli: Je, Mungu huomba?

Wewe una chuki Zako hataki kuelewa na utaelewa nyooni mwako una maradhi na Allah kauongezee maradhi kqasbb ya uchuki dhidi ya dini nyingine bila sababu
HAkuna maradhi wala hakuna Mungu anayeongeza maradhi wa viumbe huyo atakua shetani,acheni kupindisha maandiko ili kukwepesha maana,andiko lilishindwa nini kusema Allah anatoa baraka limeandika Allah na malaika wanaswali
 
Nimekuja kwenu leo, si kwa hasira, bali kwa msimamo wa mtu ambaye ametafuta ukweli katika Biblia na pia katika Qur’ani.

Swali hili linaibua mjadala wa kina kuhusu uungu wa Yesu kulingana na Maandiko ya Kikristo. Kama Yesu ni Mungu, basi ni kwa nani alikuwa anaomba?

Katika Biblia tunasoma: Yesu alianguka kifudifudi na kuomba katika Gethsemane (Mathayo 26:39).

Alilia na kusihi kwa machozi akimwomba Yule aliyeweza kumuokoa na mauti (Waebrania 5:7).

Alipokuwa msalabani, alipaza sauti: “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?” (Mathayo 27:46).

Ikiwa Yesu ni Mungu, alikuwa anaomba kwa nani? Je, Mungu anaweza kuomba kwa Mungu mwingine? Au haya ni ishara kwamba Yesu alikuwa mtumishi wa Mungu, si Mungu Mwenyewe?

Katika Kurani Tukufu, Allah haombi, haliombi, wala hahitaji. Yeye ni Mwenye Kujitosheleza daima. Hili ni swali lenye uzito kwa waumini wa Kikristo: Kwa nini Mungu wa Biblia anaomba, wakati Mungu wa Uislamu hahitaji kuomba?

Ikiwa Yesu ni Mungu, basi alikuwa anamuomba nani? Je, Mungu anajiombea mwenyewe? Au Yesu alikuwa anaonesha kwamba yeye ni mtumishi, si Mwenyezi?

Kwa nini aseme, “Baba ni mkuu kuliko mimi” (Yohana 14:28), na tena, “Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu” (Yohana 20:17)?

Kwa nini Paulo atangaze: “kichwa cha Kristo ni Mungu” (1 Wakorintho 11:3)?

Kauli hii inaonesha wazi kuwa Yesu Kristo yuko chini ya mamlaka ya Mungu, akimtambua Mungu kuwa juu yake — jambo ambalo lingekuwa gumu kueleweka ikiwa Yesu angekuwa Mungu.

Tanbihi

Tujikite kwenye Mada sio kutumia jaziba mihemuko chuki gadhabu matusi nk, tuko hapa kujifunza, leteni utetexi wa ushsahidi plz
Kwenye quran 29 Allah anasema allahamdullilah inamaanisha asante Mungu.

Nyau de adriz
 
1.Alikuwa Mungu milele kabla hajavaa mwili .

2. Alipokuja Katika mwili wa Mwanadamu akaendelea kuwa Mungu Katika Roho, mwili wa Mwanadamu.

3. Alipofufuka na kupaa mbinguni, amerudi Tena Katika mwili wa Roho ndiye Mungu huyo huyo aketiye kiti Cha Enzi.

Ndio maana mabaki ya mwili wa Yesu hayapo popote.

Ni Mungu huyo.
Dhana zako hazina sapoti yoyote toka kwenye bible

Kuanzia hapo ulipo anza kujiomba kama alivyofanya Yesu kwa mujibu wako.
kwa hiyo nyie wakristo mnataka kusema hii Dunia imewahi kuwepo bila Mungu?
kwa maana mwili na Roho vya Yesu vilikufa kwa siku tatu urongo kweli?
 
Alipovaa mwili akawa mfano wa mwanadamu aliomba kwa Yeye mwenyewe,

Sifa kuu ya Mungu ni kuwappo everywhere at once,

Alimba akiwa na mwili duniani, hapo hapo Ni Mungu mbinguni Katika Roho.

Aliomba Ili kuonyesha kujishusha sababu ya kuvaa mwili.

Ndio maana kuna wakati alisema, ninajua umenisikia, ila mapenzi Yako yatimizwe.

Hata WEWE kuna time unasema na kubishana na nafsi yako, lakini wewe ni yule yule mmoja.
Ila haitotokea nikaiambia nafsi yangu iniokoe na mauti.
 
Mungu usionekane hivyo hivyo.
Ili tujipe maswali magumu wenyewe mana mwisho wa haya yote ni mauti Tu.
 
Ila haitotokea nikaiambia nafsi yangu iniokoe na mauti.
ALipovaa mwili wa Mwanadamu alifanana nasi, na alipata maumivu kama Sisi Katika mwili.

Sasa ndipo ujue kuwa,

Ikiwa Mungu aliamua kuacha utukufu mbinguni akavaa mwili akaishia kimaskini Ili kukuokoa WEWE Mwanadamu, iweje WEWE ushindwe kuacha pombe na UOVU, uzinzi, uongo, wizi, kwa ajili ya Mungu.
 
ALipovaa mwili wa Mwanadamu alifanana nasi, na alipata maumivu kama Sisi Katika mwili.

Sasa ndipo ujue kuwa,

Ikiwa Mungu aliamua kuacha utukufu mbinguni akavaa mwili akaishia kimaskini Ili kukuokoa WEWE Mwanadamu, iweje WEWE ushindwe kuacha pombe na UOVU, uzinzi, uongo, wizi, kwa ajili ya Mungu.
Uzushi mtupu Mungu avae mwili ili umasaidie nini kutekeleza ambacho kilikua kimemshinda mpaka afanya camouflage ya kijinga.
 
Yesu ni Adam wa pili sababu tu ya kuja Katika mwili wa Mwanadamu
Maaña ya Adam WA pili kama kichwa cha kanisa..Ambalo wamwaminio wanakuwa Wana wa MUNGU....Yaani yeye akiwa na kanisa kama kichwa/mume kanisa likizaa Wana... Role alioshindwa kuitekeleza Adam.
 
ALipovaa mwili wa Mwanadamu alifanana nasi, na alipata maumivu kama Sisi Katika mwili.

Sasa ndipo ujue kuwa,

Ikiwa Mungu aliamua kuacha utukufu mbinguni akavaa mwili akaishia kimaskini Ili kukuokoa WEWE Mwanadamu, iweje WEWE ushindwe kuacha pombe na UOVU, uzinzi, uongo, wizi, kwa ajili ya Mungu.
Zaburi 2:7
7.Nitaihubiri amri; BWANA aliniambia ndiwe mwanangu,Mimi Leo nimekuzaa.
8.Uniombe;nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako,na miisho ya dunia kuwa milki yako....

Tumia maandiko Tu.
 
Zaburi 2:7
7.Nitaihubiri amri; BWANA aliniambia ndiwe mwanangu,Mimi Leo nimekuzaa.
8.Uniombe;nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako,na miisho ya dunia kuwa milki yako....

Tumia maandiko Tu.
(Ufunuo 1:8)

Mimi ndiye ALFA na OMEGA,

Mwanzo na mwisho.

Huyo ndiye Yesu,

Asiye na mwanzo wala mwisho ni Mungu pekee, sasa YESU kuwa Alfa na Omega.

Ni Mungu huyo.
 
Endeleza post yangu no.71 kwa kitabu cha Hebrew 1:1-6 huo ni mtazamo wangu kuhusu YESU Kristo usioyumba
 
Uzushi mtupu Mungu avae mwili ili umasaidie nini kutekeleza ambacho kilikua kimemshinda mpaka afanya camouflage ya kijinga.
Sasa unapingana na maandiko?

Soma (Wafilipi 2:7-9)
 
Hebrew 10:5-7 unaweza ukasoma kitabu chote cha waebrania...Kina madini..
'''Dhabihu na toleo hukutaka, lakini MWILI uliniwekea tayari....
7..ñdipo niliposema,tazama nimekuja (ktk gombo la chuo nimeandikwa)
Niyafanye mapenzi yako,,MUNGU.
 
Nimekuja kwenu leo, si kwa hasira, bali kwa msimamo wa mtu ambaye ametafuta ukweli katika Biblia na pia katika Qur’ani.

Swali hili linaibua mjadala wa kina kuhusu uungu wa Yesu kulingana na Maandiko ya Kikristo. Kama Yesu ni Mungu, basi ni kwa nani alikuwa anaomba?

Katika Biblia tunasoma: Yesu alianguka kifudifudi na kuomba katika Gethsemane (Mathayo 26:39).

Alilia na kusihi kwa machozi akimwomba Yule aliyeweza kumuokoa na mauti (Waebrania 5:7).

Alipokuwa msalabani, alipaza sauti: “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?” (Mathayo 27:46).

Ikiwa Yesu ni Mungu, alikuwa anaomba kwa nani? Je, Mungu anaweza kuomba kwa Mungu mwingine? Au haya ni ishara kwamba Yesu alikuwa mtumishi wa Mungu, si Mungu Mwenyewe?

Katika Kurani Tukufu, Allah haombi, haliombi, wala hahitaji. Yeye ni Mwenye Kujitosheleza daima. Hili ni swali lenye uzito kwa waumini wa Kikristo: Kwa nini Mungu wa Biblia anaomba, wakati Mungu wa Uislamu hahitaji kuomba?

Ikiwa Yesu ni Mungu, basi alikuwa anamuomba nani? Je, Mungu anajiombea mwenyewe? Au Yesu alikuwa anaonesha kwamba yeye ni mtumishi, si Mwenyezi?

Kwa nini aseme, “Baba ni mkuu kuliko mimi” (Yohana 14:28), na tena, “Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu” (Yohana 20:17)?

Kwa nini Paulo atangaze: “kichwa cha Kristo ni Mungu” (1 Wakorintho 11:3)?

Kauli hii inaonesha wazi kuwa Yesu Kristo yuko chini ya mamlaka ya Mungu, akimtambua Mungu kuwa juu yake — jambo ambalo lingekuwa gumu kueleweka ikiwa Yesu angekuwa Mungu.

Tanbihi

Tujikite kwenye Mada sio kutumia jaziba mihemuko chuki gadhabu matusi nk, tuko hapa kujifunza, leteni utetexi wa ushsahidi plz
Usijisumbue. Mimi ni mkristo na kwa imani yangu na uelewa wa jinsi Biblia inamzungumzia Yesu ni wazi ni mwana wa Mungu. Yupo Mungu mkuu na si Yesu. Mungu hatumwi wala kuomba chochote kwa yeyote. Vyote ni mali yake
 
Amekaa mkono wa kuume, na akaambiwa kaa hadi atakapopewa mamlaka. Acha kuleta tafsiri zako mwenyewe ili kuhalalisha unachotaka tuamini.

Mie naona confusion yote inakuja kutaka kulazimisha kuwa Yesu ndio huyohuyo Mungu. Yaani Mungu kuna wakati alikufa halafu akajifufua. Na Mungu wakati akikaribia kuteswa anajiomba kikombe kimwepuke. Kama Yesu alikuwa Mungu akafa, kwa nini Shetani hakuchukua mamlaka? Na kwa nini Yesu amjibu shetani ni Mungu pekee apaswa kuabudiwa?

Tanguliza akili zako mwenyewe, badala ya yale ya kuambiwa, na utagundua Yesu na Mungu ni watu wawili tofauti. Yesu ni mwana wa Mongu sio Mungu.

Kwanza kusema Yesu ni Mungu ni sawa na kusema Shetani alimjaribu Mungu. Mungu hajaribiwi na kiumbe chochote
Yes Mungu hajaribiwi kwa mambo yoyote maovu bali ametutaka tumjaribu kwa mambo mema
 
Yesu alikuwa mtume na nabii,ila kutokana na mapokeo mengi wakristo wengi hupinga ukiwaambia hivyo japo kwenye biblia kasema mwenywe kabisa na mistari ipo.mfano

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma(mtume).

1Korintho 15:28
Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana(Yesu) mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Muumba awe yote katika wote.

Warumi 1:25
Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa umilele.
 
UUNGU wa YESU ni siri kubwa sana ambayo ni ngumu kuielewa ukiitafakari katika hali ya kawaida, (1Timotheo 3:16) lakini pia ni miongoni mwa mambo yanayodhihirisha ukuu na uweza wa MUNGU, ni ngumu kuchunguza uwezo au akili za MUNGU (Isaya 40:28).
YESU aliomba kwa sababu alipokuja duniani alichukua mwili wa damu na nyama (Wafilipi 2:6-8)
Yote ambayo yanahojiwa kuhusu UUNGU wa YESU akiwa hapa duniani jua kwamba aliyafanya kama mwanadamu, mfano aliona njaa, alilia nk.
Ukisoma kwa tafakari ya rohoni hayo maandiko niliyokupa nina hakika utakuwa umeelewa.
Haya mafundisho yanakuwa magumu kuelekeweka sababu hayatoki kwa Yesu mwenyewe. Hizi ni Falsafa ambazo zilikuja baadae sana, zama ambazo hata wanafunzi wa Yesu wenyewe hawakuwepo.

Lakini kwa ukamilifu wa Mungu, hapakuwa na haja ya yeye kujifanya mwanadamu. Sababu kabla hata ya Yesu kuja, Kuna mitume wakubwa na wabora walipita kumzidi Yesu, lakini walikuwa wanadamu.

Nyinyi make tu, umtuambie uungu wa Yesu ni Falsafa tu, na si mafundisho yake.
 
Huwezi kuupata ukweli wa Biblia kwenye Quran, ila unaweza kuupata ukweli wa Quran kwenye Biblia.

Kama unataka kumjua Yesu ni nañi Biblia Ina majibu yote, ila Muombe Roho wa Mungu akusaidie kukufunulis Siri zilizofichwa na kukusaidia kuelewa kabla hujaanza kusoma, hufanyi hivyo unataka kusoma tu kama unavyosoma Kitabu Cha Willy Gamba, then ungeendelea tu kusoma Quran.
Huu ulioandika ni utoto na uhuni, mtu mwenye akili hawezi kukubaliana na wewe.

Unajua sababu gani alikuja Yesu ? Yesu alikuja kuleta ujumbe. Basi kama yeye alikuwa ni Mungu, hili lingesemwa na Mungu mwenyewe sababu katika sifa za Mungu ni kujielezea yeye ni nani na ana sifa gani ?

Maneno ya Mungu yote huwa Yana ufafanuzi na yako wazi.

Ajabu ni vipi Biblia ipatie kumuelezea Yesu, hali ya kuwa hao waandishi wa Biblia hawakumdiriki Yesu ?!
 
Back
Top Bottom