Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,944
- 19,956
Mandela alifungwa kidhuluma, isivyo haki, kwa miaka 27. Elizabeth amsaidie kwani Mandelea alikuwa jambazi? Usikute mmeanza kuugua vichwa na akili nyie!Hiyu Malema hajui Malkia alivyomsaidia Rais wa kwanza Bw Mandela,tatizo huyu aliye msaidia Mandela ni adui