List ya waliotabiriwa kifo 2017: Malkia na Mugabe wapo

Mlaleo

JF-Expert Member
Oct 11, 2011
13,388
9,757
Hapo chini utaona listi ya watakaokufa mwaka 2017, Watu maarufu zaidi ya 50 wamechaguliwa na jopo la watabiri kuwa watakufa mwaka huu. Kuna sheria za kuchagua watu watakaokufa kama ifuatavyo: Mtabiliwa kifo lazima awe maarufu kiasi ya kwamba huyo mtu akifa lazima vyombo vya habari vya uingereza vitamtangaza; na vigezo vingine kadhaa akionekana mgonjwa au ukimuona unajua huyu!

Malkia Elizabeth II ameshatabiriwa mara moja akadunda huo Mwaka sasa hivi pia katabiriwa kuwa atadanja mwaka huu 2017.. mume wake Prince Philip nae Ametabiriwa 2017 pia.

Raisi wa zamani wa Marekani Jimmy Carter mwenye Miaka 93

Bwana Mugabe Miaka 93 naye Masikini wamemtabilia 2017 ndio the end - Kaandikwa Dictator alishatabiriwa mara 3 before

Pia katika list hiyo Billionea Mwenye Familia tajiri kabisa Rockefeller mwenye miaka 102 nae amatabiriwa 2017 atakufa...

Desmond Tutu naye pia Mubarak

Lema huwa hasomi huku sijui kaotaje... bila kuwasiliana na wenye kuzimu...

Katika list ya Mwaka 2016 Fidel Castro alikuwepo na Nusu walio orodheshwa walikufa na wengine ndio wamesogea mwaka huu kwa kukomaa huku Wanateseka.. inasikitisha Sana


Below you will find DeathList 2017, a list of 50 celebrities selected by an expert committee for their likelihood to die during 2017. There are a few rules to DeathList summarised as follows: Candidates must be famous enough such that their death is expected to be reported by the UK media;Candidates cannot be famous solely for the fact they are likely to die in the near future and only 25 candidates can reappear from the previous year’s list. 2016 was billed as the year of the celebrity death by some and, although DeathList 2016 started strongly, it hit a very lean period from June to November and ended with a final score of 12, two below the all time record of 14. Has the big celebrity clear-out of 2016 made the task more challenging for 2017 or will the rate of celebrity deaths continue apace? Only time will tell...


Rank
Prev Year AppearName Age Description Discuss
1 10 15 Kirk Douglas 101 Actor
2 28 9 Vera Lynn 100 Singer
3 6 11 Billy Graham 99 Evangelist
4 18 3 Lord (Peter) Carrington 98 UK Politician
5 15 5 Peter Sallis 96 Last of the Summer Winer
6 16 5 Prince Philip Duke of Edinburgh 96 Casual rascist
7 41 5 Denis Norden 95 Comic / TV Presenter
8 3 Pierre Cardin 95 Fashion Designer
9 37 4 Stan Lee 95 Marvel comics
10 4 10 Olivia De Havilland 101 Actress
11 7 6 Herman Wouk 102 Author
12 1 Tony Booth 86 Actor
13 20 5 Bob Dole 94 Politican
14 1 Leah Bracknell 53 Actress
15 23 2 Jimmy Carter 93 Ex US President
16 1 Gord Downie 53 Tragically Hip Singer
17 29 3 Leslie Phillips 93 Comedy Actor
18 4 Robert Mugabe 93 Dictator
19 8 4 Javier Perez de Cuellar 97 Ex UN Secretary General
20 39 13 Jake Lamotta 96 Boxer
21 1 King Michael of Romania 96 King of Romania
22 1 Betty White 95 Golden Girl
23 1 Nobby Stiles 75 Footballer
24 2 Queen Elizabeth II 91 Queen
25 1 Jill Gascoine 80 Actress
26 1 Bob Barker 94 The Price is Right
27 26 2 Doug Ellis 93 Ex-Aston Villa Chairman
28 27 5 George Bush Senior 93 Former President of USA
29 1 Honor Blackman 92 Actress
30 1 Ian St John 79 Footballer
31 1 Hugh Hefner 91 Playboy
32 1 David Prowse 82 Darth Vader
33 6 Jerry Lewis 91 Comedian
34 1 David Rockefeller 102 Billionaire
35 31 2 Sandy Gall 90 TV news reporter
36 1 Pope Benedict XVI 90 Former Pope
37 50 3 Bruce Forsyth 89 Entertainer
38 32 9 Fats Domino 89 Singer
39 4 Hosni Mubarak 89 Former Egyptian President
40 34 3 Desmond Tutu 85 Archbishop
41 1 Emperor Akihito 84 Japanese Emperor
42 1 Gay Byrne 83 Broadcaster
43 36 2 Glen Campbell 81 Country Singer
44 1 Liz Dawn 78 Vera Duckworth
45 49 2 John Noakes 83 Blue Peter Presenter
46 3 Valerie Harper 78 Rhoda
47 21 4 Joost van der Westhuizen 46 Rugby player
48 13 2 Mary Tyler Moore 81 Actress
49 1 Errol Christie 54 Boxer
50 6 Ian Brady 79 All round Mr Nice Guy

The DeathList 2017

The DeathList 2016
 
mleta mada watabili wanafuata karenda ya jurias, karenda ya jurias mwaka unanza mwezi wa 3 kama sikosei, kwahiyo mwaka 2016 bado haujaisha kwa elimu ya unajimu.mimi nawaitaga illuminati.hii karenda ya sasa Gregorian haitumiki na watabili. hata vitabu vya kiimani yaan biblia na msahafu utaona wanatumia karenda ya jurias.
 
huyu alokua anatabiri hii kitu anaweza kuanza kudondoka yeye 2017 kabla yeyote kwenye hio list. nobody knows the time of death except for the almighty. huyu anaangalia wenye umri mkubwa sana ( 90+ years ) then anajua probabalities zitam-support.
 
mleta mada watabili wanafuata karenda ya jurias, karenda ya jurias mwaka unanza mwezi wa 3 kama sikosei, kwahiyo mwaka 2016 bado haujaisha kwa elimu ya unajimu.mimi nawaitaga illuminati.hii karenda ya sasa Gregorian haitumiki na watabili. hata vitabu vya kiimani yaan biblia na msahafu utaona wanatumia karenda ya jurias.
***
so we are in September at moment..!
 
Thank God!! Mzee Ruksa hayupo! Maana naona kama kigezo kikubwa kwao ni hiyo 90+
Wangetabiri na wenye miaka 20 mpaka 50 hapo ukiangalia unaona wamelenga umri kitu ambacho hata bila utabiri unaweza kugundua kuwa uzee ni nyumba ya maradhi mnaweza kushangaa vyuma vyote hivyo vikakomaa mpaka mwaka ujao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom