nionana na dr. Hivi karibuni na nimeamini kuwa mzee huyu kweli ana mda mfupi sana wa kupumzika kwa siku. I think just 3 to 4 hours a day
wanapaswa kujiunga na CDM na ku support M4C ili 2015 tuwaondoe viongozi wanaolalamika tuwaweke viongozi wanaotenda na kutatua matatizo ya wananchi!Kupitia ACCOUNT yake ya kwenye mtandao wa kijamii wa FACEBOOK DK.SLAA kaandika haya..
"Rais akilalamika kuhusu rushwa kukithiri, wananchi wanapaswa kwenda kwa nani kupata msaada ili kupambana nayo?"
Wewe na mafsadi wenzako ndio mnapoteza muda wenu na 2015 subiri tuwaonyeshe kuwa magamba tumewachoka.sasa mbona slaa anameza matapishi yake??
Lini yeye alishatoa tamko la kumkubali kikwete kama rais wa nchi hii??
Yeye si alishatamka waz waz kua rais wa nchi hii ni yeye na kwamba ushindi wa kikwete ni batili
hivi slaa bado tuh hajakata tamaa kua wananchi tushajua janja na siri iliyojificha ndani ya hiki chama cha kichaga na kidini??
Its bad that slaa n his mobb are wasting their time
and too bad indeed because this time will come to lost them too..
na kama mkombozi ni chadema basi ikaripiwe vikali kwa ibada yao ya udini na ukabila
maana huo ndio utatumaliza sisi na vizazi vyetu
usione uzito sote tuikemee tabia hii ya chadema....
Lyimo
Ni vizuri wabunge waanze ili sisi tuwaunge mkono
Kama uelewa wako ndo huo na unajiita great thinker basi jf imeishiwa members,kipimo cha uelewa ni kukubali ukweli.
yah ni kweli
inaonesha dada josephine hua anampeleka peleka juu juu sana
mara mahakamani kukata rufaa,mara kwa wakili wa kutetea ile ndoa,kwa kweli yupo katika wakati mgumu sana anahitaji maombi sana
,,forsure everybody needs somebody to call him his wife and vice versa is true
usichoke slaa kupigania ndoa yako,,
sasa mbona slaa anameza matapishi yake??
Lini yeye alishatoa tamko la kumkubali kikwete kama rais wa nchi hii??
Yeye si alishatamka waz waz kua rais wa nchi hii ni yeye na kwamba ushindi wa kikwete ni batili
hivi slaa bado tuh hajakata tamaa kua wananchi tushajua janja na siri iliyojificha ndani ya hiki chama cha kichaga na kidini??
Its bad that slaa n his mobb are wasting their time
and too bad indeed because this time will come to lost them too..
hayo ni yako yangu nilimaanisha anafanya kazi nyingi kokote aliko na aendako.
Enyi watanzania jioneeni huruma nyie na vizazi vyenu,amkeni muwakatae hawa mashetani nyinyiemu ambayo yameifanya rushwa kuwa sehemu ya ibada yao,tutasalimika vipi tukiwaendekeza hawa wanunuzi wa madaraka???
Wabunge wa upinzani wanaweza kufanya hivyo. Hoja yenyewe itapingwa vikali kwa kusema kuwa ni ya upinzani. Kama Mnyika aliweza kutolewa Bungeni kw akumuita "dhaifu" itakuwa hoja ya kutokuwa na imani naye?
[/color]nakuonea huruma maana kiengereza kama lugha tu chenyewe hujui , je kutoa mchango wenye weledi kwa manufaa ya nchi yako utaweza kweli?
Pili unadhani tukianza kubaguana kidini na hata kikabila wewe na ndugu zako mtapona?