mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,152
Juma hujakosea, anachofanya Lowassa ni "umalaya wa kisiasa" Kama ulivyoandika.
Nyingine zone ni porojo tu.
Lowasa ni Malaya wa kisiasa wewe ni Malaya wa nini? Dini, mwili, mawazo au...?
Juma hujakosea, anachofanya Lowassa ni "umalaya wa kisiasa" Kama ulivyoandika.
Nyingine zone ni porojo tu.
Watu wa CCM mwaka huu lazima mtage.....Ufisadi wa LOWASA ulianza kuujua lini...unamwambia mgonjwa wewe Afya yako ikoje.....!!! Angekuwa hakubaliki kwanini unamwaga maPOVU humu....Haijalishi jamaa ni Fisadi...au Mgonjwa...Majanga mliyosababishia hii nchi...tunasema imetosha....Kivyovyote.... tumeamua Kimchagua Lowasa ili kuwaadabisha nyie GAMBAZ ili mjue NCHI hii hamna hatimiliki nayo
Ukweli utadhidi kudhihiri, Lowasa ni tajiri inawezekana, mimi sina uhakika ana kiasi gani cha pesa ila ninachojua alianza utumishi miaka mingi nyuma,na hata biashara naambiwa pia alianza zamani na zingine alirithi, sina uhakika........ila kuna mtoto wa Rais anatuhumiwa pia kuwa na utajiri mkubwa wa ghafla, sina uhakika ila yanasemwa, na hata yule Dr wa Mihogo naye aliwahi kutamka siku moja kuwa dogo ana ukwasi wa ajabu wakati kamaliza chuo juzi juzi tu, kaupata wapi huo utajiri.....hili wanazuoni wetu hawalisemi, wala kina polepole hawasemi......hii Nchi imejaa unafiki na chuki za hatari.
Mwapachu anatufungua macho kuwa huko CCM kuna matajiri wa kufa mtu ila hawasemwi, anayeandamwa ni Lowasa.......wasomi jitokezeni muweke ukweli hadharani, hii Nchi inawahitaji sana wakati huu, tena kupita wakati wowote ule.
Umeasahau kuwa anagombea jimbo la Chalinze au unajitoa akili
Huwezi kuchangia nje ya mada husika.
Sio ustaarabu katika kutoa hoja.
Hizo thread za mtoto wa rais ziko huku na tumechangia...wewe hujaziona??
Huwezi kuchangia kila kitu kwenye thread
Aaaaaaa mfa maji!!
What else did u want him to air out? What kind evidence did u want from him?
Talking about substance and rationales of what kind dont make us laugh! Its hard to swallow what u guys are going through but its jst a matter of dynamicity not personallities so thats politics!!
We dont hold frndshp when it comes to politics but we play our cards right
Let me take u back to what kikwete did to lowasa after his heavy support back then!!
Thats why politically people take chances and play dirty as long as u become on top the last laugh belongs to you!
Aaaaaaa mfa maji!!
What else did u want him to air out? What kind evidence did u want from him?
Talking about substance and rationales of what kind dont make us laugh! Its hard to swallow what u guys are going through but its jst a matter of dynamicity not personallities so thats politics!!
We dont hold frndshp when it comes to politics but we play our cards right
Let me take u back to what kikwete did to lowasa after his heavy support back then!!
Thats why politically people take chances and play dirty as long as u become on top the last laugh belongs to you!
Kaka ukawa ndio malofa wameuza vyama,na wala hujui Kama Hakuna upinzani,sasa hivi ni ccm A na B hayo majanga unayosema si ni lowasa ndio mchangiaji mkuu,si katokea ccm huyo,hujui hilo!hivyo sasa hivi ccm kuna afadhali, mafisadi papa wametoka njaa mbaya Sana watu wanakubali kudhalilika!
Duu mwaka huu tutaona mengi ila tutamchagua lowasa mgonjwa mwenzetu !!!
Lini ulianza kujua kuwa LOWASA ni Fisadi tuanzie hapo kwanza...
shetani anayepigana na Lowasa tunanvunja tar 25 ktk jina la yesu atalegea tu Amina
Labda wewe umeshaimbiwa tumpelekeDuu mwaka huu tutaona mengi ila tutamchagua lowasa mgonjwa mwenzetu !!!
FaizaFoxy naomba definition ya umalaya wa siasa.
Lowasa ni Malaya wa kisiasa wewe ni Malaya wa nini? Dini, mwili, mawazo au...?
hahaha kama kila atakae msapport lowasa HANA ISSUE hata kikwete hana issue
Naona hilo neno kwenye mstari limekufanya utoke mafichoni