Kauli ya Balozi Juma Mwapachu kuhusu Lowassa

Kauli ya Balozi Juma Mwapachu kuhusu Lowassa

Huyu mzuoni kweli?kuwa mzuoni ndio nini?asitulaghae.watanzania tupo na Magufuli. Sababu kashatoa huyu mzuoni japo anazivunga
 
Mtoto wa rais ni mgombea kwenye uchaguzi huu?
Bandiko lako limejaa "sijui/sina uhakika" kibao.
Unaleta 'speculation' tu jamvini.


Mdau ameuliza dogo kapata wapi mali zote hizo wakati kamaliza chuo juzi tu.

Kwa Mh. Lowassa amesema alijiingiza kwenye miaka mingi nyuma na amekuwa mtumishi wa umma miaka mingi pia nyuma na hata ikiwa amerithi.

Hivyo ndivyo nilivyomuelewa mdau.
 
''Lakini huyo huyo Baba wa Taifa alimpenda sana Edward na kumpa madaraka ndani ya CCM na baraza la mawaziri''
Lowassa aliwahi kuwa Waziri kwenye serikali ya Mwl. Nyerere?

Nisaidieni wanazuoni!

Uchaguzi huu tutasikia na kusoma mengi!
 
Lady,

Tuliza moto mama.
mada hii inawahusu wagombea urais na Mzee Mwapachu a.k.a Bruce Lee anamfagilia Lowassa.


Kwa hiyo wengine waliobaki wanafaa kuwa wachafu eti tu ni kwa kuwa hawagombei URAIS, SHAME ON YOU.

Ndio maana inasemwa kuwa TATIZO NI MFUMO ULIOPO YAPASWA KUFUMULIWA KAMA MARINDA, THAT'S THAT.

VIVA MWAPACHU.
 
Kwa hiyo wengine waliobaki wanafaa kuwa wachafu eti tu ni kwa kuwa hawagombei URAIS, SHAME ON YOU.

Ndio maana inasemwa kuwa TATIZO NI MFUMO ULIOPO YAPASWA KUFUMULIWA KAMA MARINDA, THAT'S THAT.

VIVA MWAPACHU.

Huwezi kuchangia nje ya mada husika.
Sio ustaarabu katika kutoa hoja.
Hizo thread za mtoto wa rais ziko huku na tumechangia...wewe hujaziona??
Huwezi kuchangia kila kitu kwenye thread
 
Sifahamu vp Huyu Mwapachu atajiita msomi kwa aliondika hapo juu. Maneno yake hayana substance wala rationale behind them.

Aaaaaaa mfa maji!!
What else did u want him to air out? What kind evidence did u want from him?
Talking about substance and rationales of what kind dont make us laugh! Its hard to swallow what u guys are going through but its jst a matter of dynamicity not personallities so thats politics!!
We dont hold frndshp when it comes to politics but we play our cards right
Let me take u back to what kikwete did to lowasa after his heavy support back then!!
Thats why politically people take chances and play dirty as long as u become on top the last laugh belongs to you!
 
Mzee anasumbuliwa na ahadi ya uwaziri wa mambo ya nje ktk serikali ya lowassa km ikitokea miujiza akapata ndo maana anaweweseka,anatapatapa ndo maana amekuwa mlevi wa kutupa
 
Sidhani kama vijana wa kizazi cha leo wanashindwa japo kutafakari kwamba kwa hapa ambapo ccm wametufikisha ukilinganisha na Rasilimali tulizonazo ni sahihi kuendelea kuiamini na kuipa dhamana wa kutuongoza kama ni kufaulu tunaiita bellow average performance hatuwezi kusema hawajafanya kitu ila ni bora wapumzike wakigundua kosa lao wakatubu kwa Mwenyezi Mungu
 
Mzee anasumbuliwa na ahadi ya uwaziri wa mambo ya nje ktk serikali ya lowassa km ikitokea miujiza akapata ndo maana anaweweseka,anatapatapa ndo maana amekuwa mlevi wa kutupa

Jibu alichoandika sio kutoa mipovu tu Unaweza kutuwekea uthibitisho kwamba wamekubaliana hivyo wacheni upumbavu muda huu Muutumie namna yakuishi mkiwa chama cha Upinzani sio kupayuka tu
 
Back
Top Bottom