Kauli TATA za Wabunge kutoka BUNGENI

Kauli TATA za Wabunge kutoka BUNGENI

WanaJF,

Kadri siku zinavyosonga mbele heshima na utu wa Mtanzania unapungua sana na wenda ukaja potea kabisa! Kama baadhi ya wabunge tuliowachagua wanashindwa kuwa kioo cha jamii, basi sisi wanajamii tuwe mfano bora kwa kukemea kauli na maazimio yao tata (kodi ya laini za simu za mkononi na rasimu ya katiba) dhidi yetu na wabunge wengine wenye nia njema kwa Taifa hili.

Tuwataje na kuwakosoa viongozi wote wenye kauli tata na wenye kupenda kutoa matusi wawapo ndani ya Bunge na kwenye mikutano ya kisiasa. Kwa mfano, kauli tata za wabunge Mwigulu Nchemba na Peter Serukamba zimeleta faida gani katika jamii yetu?

Fungua kiunganishi kifuatacho usikie maneno machafu toka kinywani mwa mbunge Serukamba!

Mh.Peter Serukamba alipotumia neno F* You Bungeni - YouTube
 
Back
Top Bottom