Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,495
- 2,212
Akitoa salam za pole Mh. Nchimbi alisema yeye ni Mkristo Mkatoliki hivyo watamzoea taratibu. Wakumzoea taratibu ni waombolezaji au wale wote wanaosema yuko kimya kwa yanayoendelea nchini kuanzia mauaji ya tarehe 29?
Alisema kwa taratibu za kanisa Katoliki Baba Askofu anapokuwepo Makamu wake hawezi kuzungumza, hivyo na yeye kwakuwa Rais yupo ataongea kidogo sana.
Lakini kwanini aseme yeye ni Mkristo Mkatoloki tutamzoea taratibu?
Tutamzoea taratibu katika lipi?!