Asante, but si walimu tu. Huu ni msiba wa taifa. Utasema mwanao anasoma private na mtoto wa rafiki yako, shangazi yako, mjombako na majority ya watz wanasoma wap?
Huko hospitali kuko salama? Kuna watu wengine wanauawa na manesi pasipokujijua. Iko siri watu wanaharibika viungo kwa kuchomwa sindano vibaya au dawa isiyosahihi. Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa baadhi ya matukio hayo ni hasira za waganga kutendewa vibaya. Madaktari wamekuwa wakitufanyisha biashara. Anakuandikia dawa kanunue duka fulani kumbe dawa zipo lakini anatafuta 10%.
Walimu wengi wako vijijini na ndo benki za wakulima pia. Low purchasing power iliyoko vijijini sasahivi inawafanya wakulima kuishi maisha magum zaidi. Wanauza mazao yao kwa bei ya kutupwa. Debe la mahindi sh 2000 na hakuna mteja?
Wazazi wanashindwa kupeleka watoto hata shule za kata.
Huwezi amini hizo hela za elimu bure anazosema kapeleka shuleni anazichukua na kuzitumia mwenyewe. Mfano, umitashumta kuanzia wilaya hadi taifa inategemea michango toka shuleni.
Eti walimu wanasikitika, soon tutagundua nini kinaendelea. Mradi wa umeme ni bomu linasubiri kulipuka. MANENO HAYA HAYAWEZI KUELEWEKA HADI HAPO LITAKAPOTOKEA.