Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,718
- 830,771
Kama kuna mtu unapaswa kuwa makini naye sana... I mean kwa asilimia 100 basi ni mtu mwenye kuitwa Mwanasiasa... Ichunge sana kauli yake kwakuwa huitamka akiacha utata ama nafasi ya utetezi
Ndio maana kuna utani unasema Mwanasiasa akikwambia kumepambazuka usimwamini mpaka utoke nje ujiridhishe mwenyewe.... Tafsiri yake ninini hapa!? MWANASIASA HAAMINIKI...
Ishu ya kupandishwa madaraja na kuongezewa mishahara ilikuwa ni ahadi ya Mei Mosi 2018.... Subiri yavuta kheri... Lakini sometimes huja kinyume.... Kilichotarajiwa na wengi kimekuja tofauti kabisa... Picha zijazo zinajieleza
Lakini kwa umakini mkubwa kabisa imetoka kauli nyingine tata kuwa alisema ataongeza kabla hajatoka madarakani.... Ametaja mwaka wa kutoka madarakani?
Jifunze kusoma lugha za kisiasa... Utaishi maisha mengi
Ndio maana kuna utani unasema Mwanasiasa akikwambia kumepambazuka usimwamini mpaka utoke nje ujiridhishe mwenyewe.... Tafsiri yake ninini hapa!? MWANASIASA HAAMINIKI...
Ishu ya kupandishwa madaraja na kuongezewa mishahara ilikuwa ni ahadi ya Mei Mosi 2018.... Subiri yavuta kheri... Lakini sometimes huja kinyume.... Kilichotarajiwa na wengi kimekuja tofauti kabisa... Picha zijazo zinajieleza
Lakini kwa umakini mkubwa kabisa imetoka kauli nyingine tata kuwa alisema ataongeza kabla hajatoka madarakani.... Ametaja mwaka wa kutoka madarakani?
Jifunze kusoma lugha za kisiasa... Utaishi maisha mengi


