Kauli tata Mei Mosi 2019

Kauli tata Mei Mosi 2019

Kama kuna mtu unapaswa kuwa makini naye sana... I mean kwa asilimia 100 basi ni mtu mwenye kuitwa Mwanasiasa... Ichunge sana kauli yake kwakuwa huitamka akiacha utata ama nafasi ya utetezi
Ndio maana kuna utani unasema Mwanasiasa akikwambia kumepambazuka usimwamini mpaka utoke nje ujiridhishe mwenyewe.... Tafsiri yake ninini hapa!? MWANASIASA HAAMINIKI...
Ishu ya kupandishwa madaraja na kuongezewa mishahara ilikuwa ni ahadi ya Mei Mosi 2018.... Subiri yavuta kheri... Lakini sometimes huja kinyume.... Kilichotarajiwa na wengi kimekuja tofauti kabisa... Picha zijazo zinajieleza
Lakini kwa umakini mkubwa kabisa imetoka kauli nyingine tata kuwa alisema ataongeza kabla hajatoka madarakani.... Ametaja mwaka wa kutoka madarakani?
Jifunze kusoma lugha za kisiasa... Utaishi maisha mengiView attachment 1085817View attachment 1085824
mshanajr huyo mtoto mwenye miwani wa pili kutoka kushoto anafanyia kazi halmashauri ipi Tafadhali.?
 
Shida nchi haindeshwi kwa kanuni na sheria ila kwa amri kutoka kwa mtu mmoja. Kupanda kwa mshahara na madaraja kwa watumishj ipo kisheria ila kwa sababu ya ubabe mtu anaamua tu kuongea wafanyakazi. Haya bwana aliueshililia mpini ndio anakula nyama. Tunamshukuru Mungu kwa kila jambo Hakuna kitu kinadumu milele hata hivyo vinavyotengenezwa baadaye vitakuwa na story nyingine na havina Baraka kwa wanaoonewa
 
Kama kuna mtu unapaswa kuwa makini naye sana... I mean kwa asilimia 100 basi ni mtu mwenye kuitwa Mwanasiasa... Ichunge sana kauli yake kwakuwa huitamka akiacha utata ama nafasi ya utetezi
Ndio maana kuna utani unasema Mwanasiasa akikwambia kumepambazuka usimwamini mpaka utoke nje ujiridhishe mwenyewe.... Tafsiri yake ninini hapa!? MWANASIASA HAAMINIKI...
Ishu ya kupandishwa madaraja na kuongezewa mishahara ilikuwa ni ahadi ya Mei Mosi 2018.... Subiri yavuta kheri... Lakini sometimes huja kinyume.... Kilichotarajiwa na wengi kimekuja tofauti kabisa... Picha zijazo zinajieleza
Lakini kwa umakini mkubwa kabisa imetoka kauli nyingine tata kuwa alisema ataongeza kabla hajatoka madarakani.... Ametaja mwaka wa kutoka madarakani?
Jifunze kusoma lugha za kisiasa... Utaishi maisha mengiView attachment 1085817View attachment 1085824
Hivi kuna wafanyakazi wa dunia hii wanaoteseka kama wafanyakazi wa Tanzania ?
 
Huyo Mkuu hajawahi kuwa amini au hata kuwa na upendo na wafanyakazi.
Ni mnafki wa daraja la kwanza.

Pesa ya kufanya yote yanayo tibu kiu yake anayo lakini sio kulipa jasho la wavuja jasho. Unawaambia watu umeokoa mabilion ya wafanyakazi hewa, lete alone hizo za ambao wamepungukiwa s-fa (which was stupid nonsense), hayo mabilioni yameenda wapi?

Broods of the great liar.
Mnamlea wenyewe na wapiga zumari wake mnawajua na mnawachekea.

Angepewa mfano tu labda akili zingemrudi.
 
Hatari sana
tapatalk_1556764275314.jpeg
 
Huyo Mkuu hajawahi kuwa amini au hata kuwa na upendo na wafanyakazi.
Ni mnafki wa daraja la kwanza.

Pesa ya kufanya yote yanayo tibu kiu yake anayo lakini sio kulipa jasho la wavuja jasho. Unawaambia watu umeokoa mabilion ya wafanyakazi hewa, lete alone hizo za ambao wamepungukiwa s-fa (which was stupid nonsense), hayo mabilioni yameenda wapi?

Broods of the great liar.
Wanasali saana na kumtaja Mungu wetu wakati wana mungu wao wa ushetani.
 
Mjanja ni Magu au wafanyakazi?
Mimi sioni kama Magu atafanikiwa kwa hilo,naona ni methali ya tukose sote.Lakini tukikosa sote faida kwa nani?
 
Subira mwenyeee ametutelekeza badala ya kuvuta heri anajivutia kisirisiri tu! Hakika kazi bado tunayo sana watumishi wa umma mbaya zaidi vyama vyote vya wafanyakazi vinaongozwa na Mamluki kwa haya yanayojiri awamu hii kwa wafanyakazi si halali hata kidogo ingekua kwa jirani zetu hapo Kenya tungeona mengi lkn huku hata kutangaza mgogoro tuu na serikali hakuna zaidi ya kulamba miguu ya mtu kweli alieshiba hamjui mwenye njaa akiwa na msafara wake uliosheheni magari ya kutosha hawezi kumbuka shida anazopata Mwl ambae amefanya kazi miaka 9 bila hata kupanda daraja kweli kwetu maendeleo ya vitu ni ya watu
 
Halafu utashangaa wale makada wa tucta mwakani watamualika tena ili aendelee na ngonjera zake za miaka minne sasa! Ila tuongee tu ukweli, hotuba za mzee zinachosa sana maana hazivutii na mara nyingi zinatabirika. Leo amejifunza kitu kwa wafanyakazi bila shaka! Hawakuficha kabisa hisia zao pale uwanjani.
.
IMG-20190501-WA0221.jpeg
 
Mkuu kaeleweka vZur Sana!mpaka atakapokuwa anakarbia kutoka madarakan,ko ni mwaka 2024!

sijui kajuaje kuwa uchaguz ujao atashinda!!siasa za bongo bwana!!!!
Tuone mwenendo wa chaguzi kuu nchini halaf tuone uwezekano wa CCM kuendelea kuongoza nchi. Naanzia kwa JK, awamu ya kwanza alipata 81%. Awamu ya pili alipata 68%.
Kama baba Jesca aliingia kwa 58%, kwa ambayo ni pungufu zaidi ya handsome wa taifa na anayetajwa kuwa aliwajali wafanyakazi. Kumbuka hapa na kura za wizi ziko humohumo. Safari hii atapata 48%. Kazi itakuwa imekwisha.
CHADEMA popote mlipo mrejesheni W. S aje achukue fomu. TL amekwisha poteza dira na FM atawaliza, msimwamini kabisa FM.
TANZANIA BILA MAGUFULI INAWEZEKANA.
 
Halafu utashangaa wale makada wa tucta mwakani watamualika tena ili aendelee na ngonjera zake za miaka minne sasa! Ila tuongee tu ukweli, hotuba za mzee zinachosa sana maana hazivutii na mara nyingi zinatabirika. Leo amejifunza kitu kwa wafanyakazi bila shaka! Hawakuficha kabisa hisia zao pale uwanjani.
Natamani kama mwakani kusiwe na maandalizi ya MEI MOSI KABISA.
 
Maendeleo yaliyopo kila mtanzania anayafurahia, tuendelee kumuunga mkono mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli
 
Back
Top Bottom