desmond3076
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 280
- 212
KWA NINI MAY MOSI MSIFUTE TUHahahaha nacheka utadhani mazuri
KWA NINI MAY MOSI MSIFUTE TUHahahaha nacheka utadhani mazuri
mshanajr huyo mtoto mwenye miwani wa pili kutoka kushoto anafanyia kazi halmashauri ipi Tafadhali.?Kama kuna mtu unapaswa kuwa makini naye sana... I mean kwa asilimia 100 basi ni mtu mwenye kuitwa Mwanasiasa... Ichunge sana kauli yake kwakuwa huitamka akiacha utata ama nafasi ya utetezi
Ndio maana kuna utani unasema Mwanasiasa akikwambia kumepambazuka usimwamini mpaka utoke nje ujiridhishe mwenyewe.... Tafsiri yake ninini hapa!? MWANASIASA HAAMINIKI...
Ishu ya kupandishwa madaraja na kuongezewa mishahara ilikuwa ni ahadi ya Mei Mosi 2018.... Subiri yavuta kheri... Lakini sometimes huja kinyume.... Kilichotarajiwa na wengi kimekuja tofauti kabisa... Picha zijazo zinajieleza
Lakini kwa umakini mkubwa kabisa imetoka kauli nyingine tata kuwa alisema ataongeza kabla hajatoka madarakani.... Ametaja mwaka wa kutoka madarakani?
Jifunze kusoma lugha za kisiasa... Utaishi maisha mengiView attachment 1085817View attachment 1085824
Hivi kuna wafanyakazi wa dunia hii wanaoteseka kama wafanyakazi wa Tanzania ?Kama kuna mtu unapaswa kuwa makini naye sana... I mean kwa asilimia 100 basi ni mtu mwenye kuitwa Mwanasiasa... Ichunge sana kauli yake kwakuwa huitamka akiacha utata ama nafasi ya utetezi
Ndio maana kuna utani unasema Mwanasiasa akikwambia kumepambazuka usimwamini mpaka utoke nje ujiridhishe mwenyewe.... Tafsiri yake ninini hapa!? MWANASIASA HAAMINIKI...
Ishu ya kupandishwa madaraja na kuongezewa mishahara ilikuwa ni ahadi ya Mei Mosi 2018.... Subiri yavuta kheri... Lakini sometimes huja kinyume.... Kilichotarajiwa na wengi kimekuja tofauti kabisa... Picha zijazo zinajieleza
Lakini kwa umakini mkubwa kabisa imetoka kauli nyingine tata kuwa alisema ataongeza kabla hajatoka madarakani.... Ametaja mwaka wa kutoka madarakani?
Jifunze kusoma lugha za kisiasa... Utaishi maisha mengiView attachment 1085817View attachment 1085824
Mnamlea wenyewe na wapiga zumari wake mnawajua na mnawachekea.Huyo Mkuu hajawahi kuwa amini au hata kuwa na upendo na wafanyakazi.
Ni mnafki wa daraja la kwanza.
Pesa ya kufanya yote yanayo tibu kiu yake anayo lakini sio kulipa jasho la wavuja jasho. Unawaambia watu umeokoa mabilion ya wafanyakazi hewa, lete alone hizo za ambao wamepungukiwa s-fa (which was stupid nonsense), hayo mabilioni yameenda wapi?
Broods of the great liar.
Una roho mbaya weye,dah!Uzeeni lazima uwe mchawi.Kama hamkusikiliza hotuba.. basi kasikilizeni.
Picha ya kwanza na ya pili za kujipanga kupozi kupigwa picha.. hakuna lingine.. na unajua hilo. 😊
Mkuu kaeleweka vZur Sana!mpaka atakapokuwa anakarbia kutoka madarakan,ko ni mwaka 2024!
sijui kajuaje kuwa uchaguz ujao atashinda!!siasa za bongo bwana!!!!
Wanasali saana na kumtaja Mungu wetu wakati wana mungu wao wa ushetani.Huyo Mkuu hajawahi kuwa amini au hata kuwa na upendo na wafanyakazi.
Ni mnafki wa daraja la kwanza.
Pesa ya kufanya yote yanayo tibu kiu yake anayo lakini sio kulipa jasho la wavuja jasho. Unawaambia watu umeokoa mabilion ya wafanyakazi hewa, lete alone hizo za ambao wamepungukiwa s-fa (which was stupid nonsense), hayo mabilioni yameenda wapi?
Broods of the great liar.
.Halafu utashangaa wale makada wa tucta mwakani watamualika tena ili aendelee na ngonjera zake za miaka minne sasa! Ila tuongee tu ukweli, hotuba za mzee zinachosa sana maana hazivutii na mara nyingi zinatabirika. Leo amejifunza kitu kwa wafanyakazi bila shaka! Hawakuficha kabisa hisia zao pale uwanjani.
Tuone mwenendo wa chaguzi kuu nchini halaf tuone uwezekano wa CCM kuendelea kuongoza nchi. Naanzia kwa JK, awamu ya kwanza alipata 81%. Awamu ya pili alipata 68%.Mkuu kaeleweka vZur Sana!mpaka atakapokuwa anakarbia kutoka madarakan,ko ni mwaka 2024!
sijui kajuaje kuwa uchaguz ujao atashinda!!siasa za bongo bwana!!!!
Natamani kama mwakani kusiwe na maandalizi ya MEI MOSI KABISA.Halafu utashangaa wale makada wa tucta mwakani watamualika tena ili aendelee na ngonjera zake za miaka minne sasa! Ila tuongee tu ukweli, hotuba za mzee zinachosa sana maana hazivutii na mara nyingi zinatabirika. Leo amejifunza kitu kwa wafanyakazi bila shaka! Hawakuficha kabisa hisia zao pale uwanjani.