Kauli mbiu ya Rais gani iliwahi kufanikiwa hata kidogo tu?

Zote zimefeli. Tanzania bado inaendelea kuwa nchi maskini sana, ukipima kwa per capita income ni nchi kama 165 hivi kutoka mwisho, kati ya nchi 195.

1. Nyerere

Serikali iijali ujamaa, lakini sera za ujamaa zilipunguza ukuaji wa uchumi.

2. Mwinyi

Yalifanyika mageuzi kuruhusu private sector lakini hakuna lililofanikiwa zaidi ya mwanzo wa rushwa kubwa kubwa.

3. Mkapa

Alijaribu kuweka foundation ya uchumi wa kisasa lakini bado poverty ilikuwa lika mahali Tz.

4. Kikwete

Rushwa za wazi wazi za kitaasisi zinatamalaki. Gap ya matajiri na masikini inaongezeka kwa speed ya SGR. Quality education inajifia kifo cha mende.

5. Pombe Magufuli

Magufuli alileta speed na discipline lakini kulikuwa na trade off kwenye business environment na freedom za watu.

6. Samia

Huyu amepora uchaguzi wazi wazi. Kifupi si rais halali wa nchi. Hakubaliki na almost 99% ya watanzania. Uchumi unapumulia mashine.
 
Kulikuwa na maraisi bwana,

1. Uhuru na kazi
2. Siasa ni Kilimo
3. Kilimo cha kufa na Kupona
5. Kazi ni uhai
6. Ubepari ni unyama
7. Elimu kwa wote (UPE)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…