666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,688
- 3,816
Ruge akili zake bwana, jamaa ni nyoka haswaa, anasema watoto wa roma watakula nini anasahau vipaji vingapi kaviua na kuvibania kisa redio yake inayotoa tenda za burudan kuwanyima show na airtime wasanii wengi tu na tena wengine walihojigi tu juu ya maslai yao.
Et zamani tulikua tunapiga hadi asubuhi, kwaio kama zamani mlikua mnavunja sheria na hamkukamatwa basi muachwe muendelee kuvunja sheria?
Hapo anataka huruma tu na apate kundi la watu wengi nyuma yake, badala yake kashaaribu pote na too bad nae alijiingiza kwenye mambo ya siasa na hapendwi sanaa na wapinzani wa nchi hii so hakuna wa kumtetea.
Rest in Peace Clouds.
Et zamani tulikua tunapiga hadi asubuhi, kwaio kama zamani mlikua mnavunja sheria na hamkukamatwa basi muachwe muendelee kuvunja sheria?
Hapo anataka huruma tu na apate kundi la watu wengi nyuma yake, badala yake kashaaribu pote na too bad nae alijiingiza kwenye mambo ya siasa na hapendwi sanaa na wapinzani wa nchi hii so hakuna wa kumtetea.
Rest in Peace Clouds.