jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,515
Unapenda vitu kama merry go round?Muda wa kuwanukuu watu na kuwatukana unaupata wapi ?
Crap. Whining beyotches
Unapenda vitu kama merry go round?Muda wa kuwanukuu watu na kuwatukana unaupata wapi ?
Crap. Whining beyotches
Unapenda vitu kama mery go round?Unapenda vitu kama merry go round?
Dumbass, that was meant to be a question.Unapenda vitu kama mery go round?
Dumpass, that was meant to be a questionDumbass, that was meant to be a question.
Mbali na kuwa umetumia denials as a defensive mechanism kwa kutumia maneno kama "Hatumchukii" n.k, Kwa mtu mwenye akili post yako imejaa chuki binafsi kwa Magufuli binafsi na si kwa kuangalia utendaji wake.
- Hakuna hata sehemu moja umediscuss utendaji wake bali kufanya Character assassination kwa kumpa sifa mbaya ambazo nina uhakika hana.
Sidhani kama kuna mtu anazuwiwa kusema. Watu wanatukana badala ya kusema. Si haki. Watu wajifunze kukosoa constructively na si destructively. Kuna tofauti kati ya "njoo hapa ya lugha ya ukali na njoo hapa hiyo hiyo ya lugha ya kistaarabu.
Mimi nadhani Pascal Mayalla unatakiwa kuelewa wengi ya wana JF hawana upeo wa ''kuona'' logics zinazojificha kwenye threads zako. Ndugu ni hivi: Mwalimu alikuwa anawaasa wabunge (wananchi) wasiogope kwani kuogopa kwao kutawafanya waje kutawaliwa na diktekta! Lakini si kweli mwanzisha thread anaamini ujinga wa kuwa Nyerere ndie wa kulaumiwa kwa ''kumuumba dikteta'' Magufuli kwa maneno! Yeye ameonyesha tu jamani Nyerere alishasema mkiogopa viongozi mtatawaliwa na diktekata... hivyo mjadala uelekezwe kwa watanzania na wabunge wao wasiogope viongozi...Mkuu Paskali, hiyo clip yako hapo Mwalimu Nyerere alikuwa ana state facts, hakuwa anafanya unabiii au kuchuria, he was merely stating the known facts.
Magufuli ni dikteta, na hilo ni tatizo la John Magufuli. NUKTA.
Upande wa pili kuna tatizo la mfumo (system) ambao ni dhaifu na butu haukufanya kazi ya vetting thoroughly. Hakuna namna Magufuli angeshika hata nafasi ya 10 kati ya wagombea 11, kwa sababu track record yake Wizara "alizotawala" ilikuwa mbaya na chafu. Hizo takwimu za kukariri ambazo zilimpa umaarufu zilipaswa kupitishwa kwenye tanuru ili dhahabu ijulikane na makinikia yajulikane.
Ukitaka kujua ubaya wake sikiliza kauli zake anapotafuta sympathy au ego-satisfaction hasa kwa kutumia zile cheap and stereo-typed popular slogans zake za uzalendo, upendo, tumbua nk nk. Ule ni unafiki wa kiwango cha Hollywood. Unafiki na chuki ni tabia zake Magufuli asisingiziwe mtu mwingine awaye yote. Anatakiwa akubali huo udhaifu kisha ajirekebishe (ni process) sio kusema aombewe. Udikteta wake alianzia kwenye familia yake na maisha yake yote amekuwa uchwara, hata kwenye Wizara alizotumikia.
Tunaomkosoa Magufuli, wengi tuna point kwenye hizo facts za Mwl. Nyerere tu. Wengi hatumkosoi kwa kumchukia bali kwa kuonyesha na kuianisha bayana madhaifu yake, ila kiburi chake kimemfanya ashindwe kusikia na kujirekebisha.
Hivi raisi anavyotoa maamuzi au maagizo ni kwa maslahi ya nani?
Ikiwa anaendesha nchi kwa maslahi ya watanzania basi anafaa apongezwe na ikiwa yupo kwa maslahi yake binafsi basi hatuna budi kukemea na kumwita dikteta na kila jina litakalomuudhi.
Kazi ya uraisi si rahisi, hususan katika nchi zetu za Afrika, na daima mpinzani atakuwa mpinzani tu.
Tumeshuhudia raisi jinsi alivyoweza kutatua matatizo ya wanyonge katika mikutano yake, amewaajibisha watendaji wa ovyo, amerudisha nidhamu kwenye ofisi za serikali, rushwa imepungua, viwanja vinapatikana kwa urahisi, mawaziri wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi. Nadhani hii kauli ya kumuita raisi dikteta ni ule msemo wa waswahili unaosema "ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya".
Damn! Hata copy and paste is an issue. Pascal Mayalla please usitoe tena like kwasasa. Nadhani ndicho kinamfanya huyu moron aendeleze upupu wake. I'm done with your dumbassDumpass, that was meant to be a question
Tafsiri na ufafanuzi wako kuhusu tabia ni sahihi kabisa. Hitimisho lako ndilo lenye kukosa staha, unampo mtuhumu mtu pasipo na ushahidi, na hasa kiongozi wa nchi ambaye anawakilisha Taifa, ukiwemo wewe.
Unaandika mimi naona shida kwa Mkuu wetu, nachunguza na kujiuliza je chanzo cha tatizo alilo nalo ni nini? Nagundua kuwa chanzo ni tabia yake (attitude)... Na moja ya tabia niliyoiona kwa kuangalia matendo, mwenendo na maneno yake ni kiburi (pride) kwa sababu.... Unaendelea kutoa tafsiri ya neno pride kwa kiingereza na kuacha kauli yako ikielea.
Kutuhumu au kusifia tabia ya mtu ni lazima kuwepo vigezo vya kupima au kuelezea sifa hizo. Na ni vizuri katika tafsiri yako ya kiingereza ya neno pride umegusia hivyo vigezo (maneno mazito mlalo kwenye bandiko lako). Tafadhali, tusaidie (mimi na wanaJF) pride ya huyo mtu kwa matendo, mwenendo na maneno yake
Sija kukopi angalia neno Dump kwenye kamusi yako.Damn! Hata copy and paste is an issue. Pascal Mayalla please usitoe tena like kwasasa. Nadhani ndicho kinamfanya huyu moron aendeleze upupu wake. I'm done with your dumbass
Kauli ya sipangiwi na mtu ilikuja baada ya mikelele mingi toka upinzan kushinikiza makonda haondolewe. Nafikir ni vema kuangalia kauli zake zinatolewa mda na mazingira gani.Chadema hawawez wakawa wanampangia jpm nini chakufanya,nani atumbuliwe nani aachwe tena bila taratibu zozote. ILE KAULI NILIIELEWA HIVI.Ila kwakua tumekuwa watu wa propaganda kuliko uhalisia sio ajabu leo ukisema magufuli alisema sipangiwi.Kuna mambo mtu huzaliwa nayo na Kuna mambo mtu hujifunza kutokana na malengo yake..udikteta WA magufuli upo na hafundishwi na mtu bali Ni asili yake ndo maana alisema hapangiwi na mtu na wala hasahuriwi na mtu...kumbuka wakati anamuapisha Ana ngwira alitumia neno Tata ambalo watu wengi walielewa kivingine...hili neno la POWER IS POWER and now YOU HAVE POWER..ni kudhiirisha udictefa wake WA kutotaka kuambiwa na mtu na asisikilize la mtu atumie POWER aliyompa...kwani kabla ya yeye kuwa rais mbona thread nyingi Tu huku watu waliomjua wanasema huyu jamaa hashauriki?kabla ya kuwa rais tulimshuku na sasa he has POWER and no one can touch him..anachukua to uzoefu toka kwa watangulizi wake kina museveni na Paulo kagame..na tusitafute mchawi hapa sio Baba WA taifa wala Tundu lisu..MAY HE GET WELL SOON WE PRAY..
Kweli kabisa mkuu, woga ni sumu mbaya sana kwa haki na maendeleo iwe ni mtu mmoja au jamii au taifa zima.Mimi nadhani Pascal Mayalla unatakiwa kuelewa wengi ya wana JF hawana upeo wa ''kuona'' logics zinazojificha kwenye threads zako. Ndugu ni hivi: Mwalimu alikuwa anawaasa wabunge (wananchi) wasiogope kwani kuogopa kwao kutawafanya waje kutawaliwa na diktekta! Lakini si kweli mwanzisha thread anaamini ujinga wa kuwa Nyerere ndie wa kulaumiwa kwa ''kumuumba dikteta'' Magufuli kwa maneno! Yeye ameonyesha tu jamani Nyerere alishasema mkiogopa viongozi mtatawaliwa na diktekata... hivyo mjadala uelekezwe kwa watanzania na wabunge wao wasiogope viongozi...
Shut up faggot, wtf is dumpass?Stupid lil fag. Talking from yourass n shitSija kukopi angalia neno Dump kwenye kamusi yako.
Kilaza wewe.
Wewe nisawa na Dump tu.