Wadau
wakati wa kipindi cha bunge cha leo Letcia Nyerere alitaka Mkulo ataje makampuni yaliyopata pesa za stimulus package, Kilichonishangaza ni pale spika aliposema "Wizara mmeniangusha kwa kuwa mlipewa miezi miwili", Najiuliza kwani yeye ni sehemu ya serikali? au hajijui kuwa yeye ni mbunge anayetakiwa kuisimamia na kuishauri serikali na sio kujifanya kuwa sehemu ya serikali.
Wadau mnasemaje
wakati wa kipindi cha bunge cha leo Letcia Nyerere alitaka Mkulo ataje makampuni yaliyopata pesa za stimulus package, Kilichonishangaza ni pale spika aliposema "Wizara mmeniangusha kwa kuwa mlipewa miezi miwili", Najiuliza kwani yeye ni sehemu ya serikali? au hajijui kuwa yeye ni mbunge anayetakiwa kuisimamia na kuishauri serikali na sio kujifanya kuwa sehemu ya serikali.
Wadau mnasemaje