tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,115
Jana wakati anatangaza baraza jipya Rais kikwete alinihuzunisha sana!
Katika kuonyesha hakuna kitakachofuata kwa wapendwa wezi alisema hv;
Mnawajibishwa kisiasa hata kama hamjatenda nyie ! Sasa tunaenda kwa waliosababisha mfike hapa!
Je wanajamvi kwa kauli hii mnategemea lolote zaid ya kuwapa ulaji sehem zingine?
Katika kuonyesha hakuna kitakachofuata kwa wapendwa wezi alisema hv;
Mnawajibishwa kisiasa hata kama hamjatenda nyie ! Sasa tunaenda kwa waliosababisha mfike hapa!
Je wanajamvi kwa kauli hii mnategemea lolote zaid ya kuwapa ulaji sehem zingine?