KAMA UNA PHD REAL UKIONA MTU KAVAA HIVYO ROHO HATA HISHTUKI, UNAJUA ANAFANYA MAIGIZO. LAKINI IKIWA ULIIPATA KWA KUIBIA VIKARATASI BASI HUTAKI UONE MTU MWINGINE ANATAKA KUFANANA NA WEWE. kama wewe ulisoma na yeye hakusoma basi heshima yetu siyo sawa, mfano mimi sasa ndiyo namalizia PHD ila sioni tatizo kwa yeye kuigiza kwa vazi hilo. Je ukimuona mtu kavaa joho la padri au kanzu ya shehe (muda wa nusu saa) wakati unajua siyo shehe au Padri, je wewe je mashakhe na mapadri wanatakiwa walie au kulalama kama hivi. Kama kweli kitu hichi unacho basi huwezi payuka namna hii. kuweni na hoja za kulalamikia.Kwa mtindo huu wenye PhD za ukweli tunakereka sana. Hawa jamaa wanashusha heshima ya Hilo vazi na digrii ya uzamivu kwa ujumla.
NDIO MAANA WENGINE TUMEAHIRISHA KUSOMA PHD indefinitely Ya nini kama kila mtu anatunukiwa bure..nasubiri nami nijepewa bure.