Watakufwa wote😅 ila tumemuelewa Kipanya..Sasa mbona wamemfunga mnyororo ina maana tawi likikatika watamdaka?
hapana, angalia miguu ya mkataji vizuri,...tawi likianguka hapo lazima wataanguka wote,...Sasa mbona wamemfunga mnyororo ina maana tawi likikatika watamdaka?
Ooohooo sure...wacha tuendelee kunywa mtorihapana, angalia miguu ya mkataji vizuri,...tawi likianguka hapo lazima wataanguka wote,...
Umeuona huo mwili wa huo mwanamke?na pia Wana mnyororo mkononi, Sasa huyo mwanamke hapo akidondoka huyo mwanaume hapo hawezi Baki lazima nae adondokeMbona mkataji mguu mmoja nje mwengine ndani?
Kwa maana mkataji ana asilimia za kupona?
Inaitwa 'bora tukose wote'.Sasa mbona wamemfunga mnyororo ina maana tawi likikatika watamdaka?
Watadondoka wote..Sasa mbona wamemfunga mnyororo ina maana tawi likikatika watamdaka?


Sasa mbona wamemfunga mnyororo ina maana tawi likikatika watamdaka?
Hii katuni inaonekana ni ya zamani 9/09/2024. Ni jinsi gani hili janga limekuwepo muda mrefu na watu walikuwa wanalielewa.
Mwanzoni nilidhan anayekata tawi (mwenye kijamii) anaakili. Anataka kukata then aondoe mguu mmoja huku alipokata ili amuache huyo mama akidondoka mwenyewe. Cha ajabu naye amejifunga mnyororo. Hiyo wanakwenda wote. İnnalilahi