Katuni ya Kipanya leo

Youngblood

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
18,955
55,050
5ceb245c4a3de0d4c615936f33400f8c.jpg
 
Lolote walete jana kawaaacha chaliiiiiiiiiiiiiiiii

Na leo tena kaongelea maendeleo ya mji wake Dar.

Akaambiwa huko nje watu wamejua yupo TBC na wanazidi kujazana getini kumsubiri.

Hivi magazetini katoka au, maana wale kweli wameachia kukosa pesa za mauzo ya magazeti au?


Ha ha ha haaaaaaa


Makonda oyeeeeeee
 
Lolote walete jana kawaaacha chaliiiiiiiiiiiiiiiii

Na leo tena kaongelea maendeleo ya mji wake Dar.

Akaambiwa huko nje watu wamejua yupo TBC na wanazidi kujazana getini kumsubiri.

Hivi magazetini katoka au, maana wale kweli wameachia kukosa pesa za mauzo ya magazeti au?


Ha ha ha haaaaaaa


Makonda oyeeeeeee
Oyeeeee Baby, achana nao hao wanafki, Makonda ndiyo Rais wetu ajaye baada ya Magufuli, inshallah Mungu amfanyie wepesi, i mic u totoo.
 
mnafikiri mtu atoapo wazo la upande fulani je mnauhakika mtu huyo amechunguza kwa umakini upande wa pili..? msijetumbukizwa shimoni kwa kisa cha kisiasa na mapendeleo ya moyo ohoooo! binadamu ni kiumbe cha aina yake bandugu!
 
Lolote walete jana kawaaacha chaliiiiiiiiiiiiiiiii

Na leo tena kaongelea maendeleo ya mji wake Dar.

Akaambiwa huko nje watu wamejua yupo TBC na wanazidi kujazana getini kumsubiri.

Hivi magazetini katoka au, maana wale kweli wameachia kukosa pesa za mauzo ya magazeti au?


Ha ha ha haaaaaaa


Makonda oyeeeeeee

hahaha hebu relax, usipanic
kumtetea Bashite inahitaji uwe na akili ya maiti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom